Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
- Thread starter
- #21
Njowepo mimi nafikiri hawa dawa ni kuwapa deadline wakishindwa ku-deliver within the time frame or limit you get them fired nashangaa huyu jamaa analalamika hiyo miezi 3 that's the kind of people we have, 35 years and the airline hasn't done shit..
Tatizo langu sio miezi mitatu, hata mmoja ungetosha kama tatizo ni dogo. Kwa msomi kama Mwakyembe angekuwa mtu sahihi kuokoa shirika angetoa tamko sahihi. Wewe mtoto wako ameanguka ndani ya shimo futi ishirini unaenda na kamba futi mbili kumtoa si uendawazimu huo?? Una kitambaa cha kutosha kushona chu.pi halafu uanenda kwa fundi unamwambia akushoinee kanzu si uendawazimu huo? Nyie wenyewe mliona mwaka jana hawaja jamaa na serikali yao walipitisha bajeti ya trilioni 13.5 mkawasifia kila kona lakini wameishia kutekeleza trilioni 8 tu. Kama wakunyumba anataka kuokoa shirika alinunulie ndege zake walau hata mbili then atoe deadline.
Last edited by a moderator: