Recent content by Mwidu Bora Kabisaa

  1. M

    Miraj Kikwete: Mimi na dada yangu Salama hatumiliki Kampuni ya Simba trust

    yeriko nashauri apelekwe kwanza mirembe.....
  2. M

    Nape kutangaza kugombea urais 2015

    duuuuuuuuuh,ya leo kali..hayaaa yetu macho urais 2015.....!!
  3. M

    Jerri Silaa: Hakuna wa Kumzuia Membe 2015

    Mtoa mada hii analake jambo..jerry silaa kwanza hanywi pombe,huu ni unafiki kabisaa,siasa za maji taka,by the way mtake msitake Rais ajae nchi ni Pinda. . Na maneno haya ntawakumbusha muda ukifika....wait and see...the only clean and smart among all of them..!!
  4. M

    Pinda: Kutajwa urais ni vyema

    MR President.....!
  5. M

    Ridhiwani kugombea ubunge Chalinze

    Habari za uhakika kabisa ni kwamba katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze chama cha mapinduzi kitamsimamisha Kada wake rizione Kikwete Kama mgombea wake iLi ipate ushindi wa kimbunga, atakuwa amefuata nyayo za baba yake ambaye alikuwa mbunge wa jimbo Hilo kabla ya kuingia ikulu.. Kila...
  6. M

    Kisiasa Nini Maana ya Uteuzi wa Paul Makonda Jana?

    Big up makonda.. Nakukubali sana.. Rais hawezi kutoka kaskazini... Jakaya kakuelewa na kakupa shavu
  7. M

    Lowassa ageuzwa mradi

    Mmmmmh wewe Mtoa mada unaonekana ni mtu wa ndani sana maana yote haya uliyosema sisi wengine tumeyasikiaa...kazi ipooooo..mzee ajipime sasa kutokana na uhalisia sisi watanzania sio wajinga kiasi kwamba tukachagua mgonjwa na mtu ambae afya yake ni Kama Ulivyoelezea...na walaji tunawajua wote...
  8. M

    Bashe avua gamba

    Bashe ni mmoja tuu anejulikana kwenye ulimwengu wa siasa za bongo... Hussein bashe acheni kutumia majina ya watu vibaya ilikupata comment nyingi fb... Such a stupid thread
  9. M

    Chadema wanamaana gani na wanafaida gani?its the hopeless party in east africa

    Kuna mambo mengine inawezekana watanzania waliowengi hawayajui na badala yake wanashabikia tuu...chama cha chadema a.k.a (chaga development manfesto) ndicho chama hovyo na cha kijinga kuliko vyama vyote east Africa kwa mujibu wa gazeti la Jana la daily nation la Kenya moja Kati ya mambo hovyo...
  10. M

    Zitto akera wajumbe kamati kuu CHADEMA - Tanzania Daima

    Safi sana zitto najua uko kwenye maandalizi ya kuachana na chama hicho cha mambululaaa.. Kuanzia mwenyekiti wao mbowe a.k.a div 5 mburula hadi wabunge wao Kama lema a.k.a wanabonyeza kizenji..achilia mbali wanachama wao na mashabiki ambao wengi wao ni wahuni tuu na walioshindwa maisha na...
  11. M

    Mbunge Bulaya kulipua wasambazaji dawa za kulevya bungeni leo-Yale yale ya Amina chifupa!

    Hana lolote anatafuta umaarufu tuu na kutaka kujifananisha na Amina chifupa ni sawa na mlima Kilimanjaro kuufananisha na kichuguu, kwanza kayumbaa,halafu anakale kamchezo ka kina Cameroon halima mdee kajiwekea ndani kamuachanisha hadi na mumewe anajifaidia tuu.. Yote twayajuaaaa!!
  12. M

    Shibuda atimuliwa kikaoni CHADEMA; Apigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye!

    Mbunge wa CHADEMA jimbo la Maswa Mh John SHIBUDA akihojiwa na Sauti ya America jana jioni alisema ,Tamaa ya uongozi na ubinafsi wa kundi la watu wachache ambao wanafanya chama hicho Kama Mali Yao na si ya wanachama na kutaka kuendelea kuwa viongozi wao tuu siku zote inaelekea kugawa wanachama...
  13. M

    Bundi atua tena UVCCM

    Habari kutoka Dodoma sasa hivi zinasema kuna makundi mbalimbali ya wajumbe wa baraza kuu toka Jana usiku na asubuhi ya Leo wamekua wakijadili namna ya kumtoa mwenyekiti wa umoja wa vijana wa ccm Bwana sadifa, japo kuna habari pia wajumbe wa umoja huo toka Zanzibar hawakubaliani na mpango huo...
  14. M

    Jerry Silaa ziarani Jijini Dar, anatoa maagizo kama Chiriku

    Jerry jembe vijana wenye upeo na makini wanatambua sana mchango wako,Hawa wengine ni wenye wivu tuu hawa Kama huyu mtoa mada ni stu*#%#€# d tuu..!
Back
Top Bottom