Waafrica nan AMETULOGA??
niliposoma hii habari nikakumbuka moja ya sera za Trump,ni kuwa Africa should recolonise again(waafrica inabidi watawaliwe maana tumeshindwa kujitawala)
Dk.TulIa na wabunge wenzake wanawake wanaonyesha kusikitika na Hilary kushindwa!!
Uchaguzi wa 2015 moja ya wagombea...
Hali kama hiyo imetokea chuoni kwetu mimi kama mbunge nikatoa maoni haya
Hi,natumaini wote ni wazima wa afya
Kutokana na baadhi ya majina ya wanafunzi kutoonekana kwenye sheets za mikopo zilizobandikwa 7ways.
sababu zilitolewa ni kama kuwa na sup,carry,incomplete,special paper nk.
*Nimepitia...
Pole sana#Next time msifanye ujinga kwenye uchaguzi
Pia nakushauri kama hali ni ngumu postpone(ahirisha) mwaka,kisha urudi kijijini ukalime ili upate fedha ya kujikimu
Elimu ya mserereko ina changamoto zake,kama unatoka familia duni kuwezeshwa na serikali ni muhimu,ila kama umekosa...
H
Swali lako linanifanya niendelee kuamini kuwa To lead Tanzanian is very simple task,And that is what Magu is doing right now.
Kwanini nasema hivi,watanzania tunapenda kuishi kwa matukio,yaani tukio likitokea tunashabikia alafu waziri au kiongozi akitoa tamko tunashabikia bila kufanya...
Video inanifanya niwe na maswali kadhaa
Mimi bado nawauliza watanzania...
mosi:Kwanini mlikataa ELIMU YA BURE MPAKA CHUO KIKUU??
kama mlikubali elimu ya bure mpaka form four kwann mpige kelele sasa hivi??
Kipindi cha kulalamika na kutoa mawazo au maoni ni kipind cha kampeni tuu
Serikal iliyoko...
Kwanza naipongeza serikali kwa jitihada zake za kuendelea na uhakiki,ili kusudi kama kuna mapungufu yaweze kurekebishwa mapema iwezekanavyo kwa faida ya watanzania wote.
kwa ufafanuzi zaidi wa tangazo hili pitia hapa...
Wakati wa kampeni,mliambiwa ELIMU BURE MPAKA CHUO KIKUU,lkn mlikata mkachaguaa viwanda......but usikate tamaa kuna waliofanikiwa bila kuwa na elimu ya chuo kikuu
Hii ni course yenye ushindani mkubwa sana katika vyuo vya Tanzania,bachelor ya BE inatolewa ARDHI pekee Tanzania nzima,UDSM wameanza mwaka jana kutoa bachelor ya BE
but hata ulipopata pia ukiweka nia ni sehemu sahihi pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.