Recent content by mwibagi2015

  1. mwibagi2015

    Uhamiaji chunguzeni kampuni ya Capital Drilling

    Napenda kupongeza kwa taasisi hii kupata "Boss" mpya. Natambua kabisa maafisa mbalimbali wa Serikali ni members/wanapita huku JF kama kisima cha habari za uhakika. Leo napenda kuzungumuzia Kampuni ya Uchimbaji Madini iliyoko Mwanza Capital Drilling (T) LTD na ku-operate katika migodi ya Geita...
  2. mwibagi2015

    Hatimaye Mbowe amepona, yote yaliyopita yamebatilishwa

    Tunataka kujua kwanini shule zetu zimefanya vibaya matokeo kidato cha nne mbona RC unapotezea hii issue?
  3. mwibagi2015

    IKULU: Rais Magufuli ampa rungu Waziri Mkuu kuhusu madawa ya kulevya

    Tafadhali tuacheni tuko kwenye Ibada Ufufuo na Uzima....ova
  4. mwibagi2015

    Spika Ndugai: Kama kuna ofisa anamuhitaji mbunge aniambie, hatuwezi kwenda kibabe

    Yule sura mbaya nae apate message hii maana yeye ndo tatizo Ndugai anapokuwa out of office
  5. mwibagi2015

    MADAWA YA KULEVYA: RC Makonda na Kamanda Sirro waongea na wanahabari

    Tatizo la makonda hakamilishi project zake mfano kusafiri bure walimu, ombaomba ndani ya Dar, Shisha, sasa madawa ya kulevya....
  6. mwibagi2015

    Upande wa pili wa kisa cha Mama Mjane aliyemlilia Rais Magufuli kuhusu kudhulumiwa Mirathi

    kuna harufu ya ukweli hapa. yule mama anaongea sana tafadhali vyombo vitakavyohusika kuwa makini.
  7. mwibagi2015

    Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mbeya mjini apigwa risasi

    wahini vodacom tupate mawasiliano ya awali kabla ya shambulio/tukio.
  8. mwibagi2015

    Mtanzania, Alphonce Simbu ashinda Medali ya Dhahabu Mumbai, India

    Mbona hana bendera ya Taifa au Nape hakupata taarifa? Bora huyu anafaa pongezi kuliko yule wa kutumbuiza.
  9. mwibagi2015

    WAZIRI MKUU: Safari ya Dodoma imeiva sasa, tutakwenda kwa awamu kama ambavyo imepangwa

    Nimemuona leo ITV akimpokea Waziri wa mambo ya nje wa China pale Chamwino. Pia ITV nao wamemhamisha Henry Mabumo Dodoma.
  10. mwibagi2015

    Video: Mtoto wa mh. Lema aongea baada ya baba yake kukosa dhamana

    Dogo anatema kithungu on behalf of myself nampongeza.
  11. mwibagi2015

    Source hii ya Rais Magufuli aifukuze haraka...

    watasema "tulinukuu vibaya"
  12. mwibagi2015

    Mwigulu Nchemba: Tuna Rais mmoja tu nchi hii, analoliamua wote tunapaswa kulifuata

    kwanini Rais huyo asifute katiba ya nchi maana yuko juu ya sheria ili tuishi kwa kutegemea mawazo na amri zake.
  13. mwibagi2015

    Naomba Ufafanuzi Mwigulu Nchemba kuvaa sare za jeshi la Polisi

    wale wasanii wa Zecomedy ni vema wakaachiwa huru kama Mwigulu hana hatia
  14. mwibagi2015

    Askari Mstaafu aliyekuwa ananyonga watu Gereza la Isanga-Dodoma

    Huyo jamaa hapaswi kukaa uraiani Serikali impe kazi hata nje nchi. Kwangu Mimi namuona murderer Kama wengine.
Back
Top Bottom