tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
Safi saana brazaView attachment 460254
Alphonce Felix Simbu kawa mshindi wa kwanza na Magdalena Crispin naye ni Mtanzania kawa mshindi wa nne katika mashindano ya STANDARD CHARTERED MUMBAI MARATHON kapata kitita cha $67 elfu .
Alidhaminiwa na DSTV MULTCHOICE TANZANIA.Nafikiri huyu ndio alishika nafasi ya nne kwenye Olympic Marathon mwaka jana