We jichanganye tu kwenye mahusiano kila mwanamke ana wanaume 4
1. Mwanaume aliyemtoa usichana wake
2. Mwanaume anayemtamani
3.mwanaume/Ex ambaye hawaachani
4. Kuna wewe uliyenaye sasa
Tatizo sio kukopa ishu apa inakopwa pesa nyingi lakini pesa halisi inayoingia kwenye iyo miradi ni kiduchu kwa sababu ya ubadhirifu na ufisadi wa serikali ya ccm
Malaya kashapigwa tukio apo anataka kujirudisha kwa boya wake. Mzee ukiona mwanamke anafosi kuhama sehemu mnayokaa jua kazini kwako kuna kazi yaani kuna mtu/mchepulo anamkwepa ili wewe usijue na inawezekana mama yako anajua huyo mwanamke wako ni malaya tu sema anakwambia kiutuuzima ila wewe una...
Kwamba kwenda Veta ndio kutaondoa tatizo la ajira?, Kama ni ujuzi kwanini waliua shule za ufundi?. Serikali inakwepa jukumu lake. Tuache siasa kwenye mambo ya msingi vijana ni zaidi ya 30% ya watanzania serikali inajaribu kutatua tatizo kwa kuhamisha goli suala la ajira ni bomu UCHAWA sio ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.