Recent content by Mwesige

  1. M

    Kikao cha kamati kuu ya CHADEMa leo si halali kwa kuwa nusu ya wajumbe wake walitenguliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa

    Ndo maana wanakutana kufanya tathimini, wakibaini kwamba hawana uhalali watafanya yawapasayo kufanya. Haya mambo wakati mwingine ni magumu kuyaelewa hasa kama wewe si sehemu yake au kama unasukumwa na nia nyingine. Tusubiri taarifa yao kesho.
  2. M

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Bora aliondoka watu tukapumua.
  3. M

    Lengai Ole Sabaya aachiwa Huru kwa sharti la kutofanya kosa la Jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja

    Namna hii mtawazuia kujichukulia sheria mkononi? Yaani anakiri kwamba walimpora Alex Swai Mali ya Sh. 50,000,000/=, adhabu inakuwa kulipa 5M, sasa nani atamfidi Alex Swai?
  4. M

    Mashtaka ya Ugaidi: Shujaa wa 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina akutwa na hatia. Ahukumiwa kifungo cha miaka 25

    Watala wa ki_Afrika ni magaidi, na badala ya wao kujirekebisha, wanatwika wenzao makosa ya ugaidi. Sema mwandishi angetufafanulia uhusiano Paul Rusesabagina na Sankara anayemnyima usingizi Paul Kagame. Lakini pia tujue, ni kwa namna gani huyu rqfiki yake alivyomlaghai, alimwambia waende...
  5. M

    Vyama vya wafanyakazi Tanzania vinakwama wapi?

    Kwanza nitangaze wazi kwamba Mimi ni Kiongizi Mwandamizi wa Chama cha wafanyakazi sekta ya Nishati na Madini (Sekta ya Uziduaji) Tanzania, kinaitwa kwa ufupi NUMET. Pamoja na kwamba hatuhusiki sana na wafanyakazi wa sekta ya umma ambayo inalalamika sana kwasababu za kutoongezwa mishahara, na...
  6. M

    Tundu Lissu punguza ukali wa maneno, hujui utayekutana naye

    Atakuwa anataseja au amesahau. Kwasababu kabla ya kupigwa risasi alikuwa anaiandama serikali kweli kweli. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Tundu Lissu punguza ukali wa maneno, hujui utayekutana naye

    Mwacheni Lissu aongee. Asipoonfea mawe ystaongea na hapo tutatafutana kweli kweli tutakapokutana na sauti za mawe. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

    Kuna dhana kwamba hakuna anayezaliwa na tabia za kishoga na hakuna anayeweza kuwa na tsbia hizo kama hafanyi mapenzi kinyume cha maumbile. Maelezo yako yanaonekana kupingana na dhana hiyo, nami nakubaliana sana hoja yako maana tangu nasoma huko kijijini, nikiwa sijawahi kusikia neno "ushoga"...
  9. M

    Mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni ulimbukeni

    Hivi kama haujaoa unawezaje kujiita mwanamme? Sema unawazungumzia wavulana au watoto/vijana wa kiume. Acha kuchanganya watu tafadhali.
  10. M

    Ndege ya Boeing 787-8 Dreamliner imeharibika kuanzia jana jijini Mwanza abiria tumeshindwa kuendelea na safari leo

    Hii haiwezi kuwa kweli, na kama ni kweli basi kuna hujuma. Lakini pia kila siku tunaambiwa mara Bombardier ipo mwanza tangu mwezi June, nani kaiona?
  11. M

    Hatimaye Wafanyakazi wa Acacia Buzwagi waruhusiwa kula na kunywa baada ya siku 4.5

    Jana tarehe 5.7.2017, DC wa Kahama na Chama cha wafanyakazi (NUMET) waliwezesha wafanyakazi 28 wa Mgodi wa Buzwagi kupata huduma ya chakulawaliyonyimwa tangu 01.07.2017.
  12. M

    Kampuni ya ACACIA yaipa serikali notisi ya kwenda mahakamani

    Hawa dawa yao ni ndogo sana. Ni kuwapigia hedabu za uwekezaji wao waondoke maana sheria inatambua kuwa, watanzania ndio wamiliki wa milele wa mali asili ya nchi.
  13. M

    Nini tafsiri ya Tundu Lisu kukosekana bungeni kipindi hiki!?

    Ameishatoa mchango wake kama msemaji wa kambi rasmi bungeni wa wizara ya katiba na sheria.
  14. M

    Nini tafsiri ya Tundu Lisu kukosekana bungeni kipindi hiki!?

    Ameishatoa mchango wake kama msemaji wa kambi rasmi bungeni wa wizara ya katiba na sheria.
Back
Top Bottom