We ulikuwa lazima uachwe na huyo mumeo. .eti uko na bosi wako tayari ,hivyo hukuwa na mawazo ya kutoka na mwenye nyumba .yaani unaishi kwa kusubiri lift za watu huoni aibu??
Jamanii wekeni masihara pembeni. Huyu mtoto anahitaji msaada wa haraka .Afya yake ya akili si nzuri na ili kuthibitisha hilo utaona hata mimi ninae jitahidi kumuelewa atanitukana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo dada hufai nikwambie tuu ukweli. Mtu hamheshimu baba yake atakuheshimu wewe?au ataheshimu wazazi wako?dalili ya mvua ni mawingu .wewe ni mtu mzima fanya maamuzi mwenyewe kulingana na unavyoona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.