Eeee wana JF eee! Acheni umburula kwa ajili ya mtoto wa tandale. Zali ana watoto watatu, kila mmoja na baba yake. Diamond kakutana na huyo demu wakati ana kimimba kichanga kabisa aisee! Lakini Zali alikuwa na plan ya kufanya kazi na chibu, akaona isiwe kesi, na mimba hii lazima nimpakazie ili...
Zito hana jipya, jimbo lake kimemshinda, ataweza ya taifa kwa umla. Sugu ana miaka mitano tu bungeni, ahadi aliyo ahidi kusoma kwa komoyuta kaitimiza. Zito miaka 10 bungeni anaongea vitu anashindwa kutekeleza, huyo ni mpumbavu bwana. Anae muelewa nae ni mbulula tuu.
Zito hana jipya, jimbo lake kimemshinda, ataweza ya taifa kwa umla. Sugu ana miaka mitano tu bungeni, ahadi aliyo ahidi kusoma kwa komoyuta kaitimiza. Zito miaka 10 bungeni anaongea vitu anashindwa kutekeleza, huyo ni mpumbavu bwana. Anae muelewa nae ni mbulula tuu.
ACT ndiyo hamna kitu kabisa! Wanamfata msaliti, ndoto hazita timia kamwe. Tumewalea wenye we hao, wameota mapembe wanajiona wakubwa! Subirini kifo cha mende.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.