Recent content by Mwendece

  1. Mwendece

    Tatizo la ngozi linanitesa

    Mabonde kuinama Tena hahaha Sio huko Kama unavyodhani mkuu
  2. Mwendece

    Tatizo la ngozi linanitesa

    Ni baadhi ya sehemu
  3. Mwendece

    Tatizo la ngozi linanitesa

    Hakuna kipimo maalum nilichopimwa Zaid daktari wa ngozi alikuwa akinipa tube na vidonge
  4. Mwendece

    Tatizo la ngozi linanitesa

    Habari za leo ndugu zangu,najua humu Kuna madaktari au sio daktari lakini unaweza kunielekeza wapi kwa kupata msaada. Kama kichwa kinavyojieleza nimekuwa na tatizo la kuumwa ugonjwa wa ngozi mnoo nimeshatumia dawa mbalimbali kutoka kwa specialist mmoja (za kupaka) lakini bado.naomba anayejua...
  5. Mwendece

    Mwenye uelewa kuhusu kampuni ya Soila

    Nashukuruni kwa michango yenu, kwa namna mlivyo changia,hapa nimeona nitalia na kusaga meno
  6. Mwendece

    Mwenye uelewa kuhusu kampuni ya Soila

    Mkuu vipi upo Moro kabisa
  7. Mwendece

    Mwenye uelewa kuhusu kampuni ya Soila

    Habari za leo,Kuna kampuni tajwa hapo yenye makao makuu morogoro inajishughulisha na kulima, yaani unatoa hela ya mtaji Kisha baada ya miezi kadhaa kulingana na zao unapewa hela(mtaji na faida) , naomba anaifaham anisaidie ufafanuzi mi nipo mkoa mwingine ili Kama inafaa niwekeze Nashukuru
  8. Mwendece

    Fundi wa kushona nguo Morogoro Mjini anahitajika

    Habari za humu ndani wakuu, kama heading inavyojieleza mimi nipo morogoro mjini ninayo cherehani ila nina majukumu mengine yanayonibana,natafuta mtu aliye serious na kazi na anajua kushona vizuri nimkabidhi cherehani kwa makubaliano maalumu tuweke kijiwe tupige kazi. mwenye uhitaji huo nicheki...
  9. Mwendece

    Vilio kwa Tanesco vinazidi kuwa vingi kwakuwa tunakaa kimya, sasa umefika muda wa kuwafichua

    Naona hapa ndio mahali naweza kupata maelezo, kwa TANESCO mkoa wa mwanza pale Nyakato nguzo zinakuja lini jamani maana toka mwezi wa nane niliambiwa zimeisha na zitakuja hivi karibuni lakini mpaka sasa kimya! Kulikoni
  10. Mwendece

    Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

    Hiyo biashara ya mtandao sijui jina ila kuna mtu alinidokezea nijiunge chini yake kwa 600k afu kila siku napata 10 kitu kama hicho kwa miezi 6 hivyo nakuwa nimeingiza kama milioni na nusu hivi, ( mambo ya good morning hata kama ni mchana)
  11. Mwendece

    Usafiri wa Basi kutoka Mwanza kwenda Arusha

    Naungana na wewe mkuu hilo ndio basi langu kila napokuwa na safari ya Arusha,time management ipo vizuri kwao
  12. Mwendece

    Upishi wa ovyo ovyo umefanya nimuache

    Duuu mkuu ungemvumilia kwan kila mwanamke ana mapungufu yake inawezekana ametoka familia ambayo kila kazi ilikuwa ya binti wa kazi.
  13. Mwendece

    Shirika la Afya linachunguza aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho 'Mu'

    Hahaha nimecheka kwa sauti jamani JF ni stess free zone
Back
Top Bottom