Siku moja nilikuwa kwenye daladala(kipanya)natoka maeneo ya state area nakwenda mjini,nashangaa gari zima anayejua uingereza ni mmoja mdada fulani hivi,yani konda hajui kingereza na abiria wengine pia hawajui,na nilikuwa naulizia kituo fulani hivi cha kushukia kabla ya kufika town Kati,by the...