Recent content by mwendakwao chayi

  1. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Toka zamani Kanisa Katoliki limekuwa na changamoto ya kushindana na madikteta

    Pia ukiangalia madikteta wengi ni wa Imani hiyo.
  2. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania THE GOAT WHO STOOD FIRM: Nguvu ya Simba, Ukaidi wa Mbuzi

    Mwamba kabisa huyu👊
  3. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Ludovick Rwezaura alishambulia Kanisa Katoliki kwa kuikosoa Serikali ya Samia

    Huyu kuna kipindi aliwahi kumletea matatizo Fred Rwakatale akasota sana mahabusu
  4. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Tunateleza na VPN sasa hapa JF

    kwa hiyo una wasanua waibane ilipotee kabisa?
  5. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Mkoa gani unaongoza kwa mbu Tanzania?

    Gairo Morogoro
  6. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Mahakama ipige Marufuku Watu kuingia na Simu au Kifaa chochote cha kurekodi ,kupiga picha au kuchukua Matukio katika kesi Ya Lissu

    siasa zisitufanye tukakosa utu! Leo kwake kesho hatujui atakuwa nani
  7. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania KERO Mkandarasi wa Daraja la Mkuyuni anashindwa kumwaga maji, vumbi linatutesa sana

    hata kukwangua barabara hawezi kuna rasta sio mchezo
  8. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ado Shaibu: Msajili alitukatalia teuzi, tukamalizana kibingwa, CHADEMA wamalize mechi ''Kibingwa''

    hicho ni chama shikizi ndio maana ilikuwa rahisi kufanya hivyo,hawa kaki wakijaribu njia hiyo hiyo sidhani kama watatoboa ila inaonekana ni njia sahihi
  9. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Rais wa Burkina Faso Capt Ibrahimu Traore anatarajiwa kuja Tanzania January, 2025. Je, atatingisha jukwaa kama alivyofanya nchini Ghana?

    Hapa kwetu hawezi kufanya hayo mambo, niliwahi kushuhudia Kagame na vijana wake walikuja na mbwembwe kama hizo Ikulu ya mwanza wakambiwa hii ni Nch! ya amani huo utaratibu wa kuonyesha siraha kwenye msafara wa vingozi sisi hatuutaki na waka tii sheria
  10. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 PICHA: Lema, Boni Yai wakigonga tano kwa furaha kwenye mkutano mkuu CHADEMA

    Kuna mgombea kaisha jifunga goli tiyari
  11. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania MAUMIVU: Naumia sana wanavyomkosea heshima Mbowe

    Dawa za kuzuia au kupunguza maumivu mbona zipo tele kwenye maduka ya madawa baridi?
  12. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Nyie wenzangu wake zenu wanaomba msamaha?

    Mie wa kwangu akinikosea namwabia akachume fimbo na anaileta nimtandike
  13. mwendakwao chayi

    JamiiForums Tanzania Nguo ya rangi gani ambayo huwezi vaaa?

    Nyekundu
Back
Top Bottom