Recent content by Mwemary

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uhamisho na TAMISEMI unatoka lini?

    Imezoeleka kila ikifika mwezi wa 10 mwanzoni majina yanatoka naona tamisemi mpo kimya au tumerudi enzi zile hakuna kuhama wala nini?! Ndoa yangu ipo matatani. Jamani toeni majina haraka. Naaachwa mie
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mshahara mwezi huu umewahi sana

    Crdb bado bhana
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wilaya ya Songwe na watoro Sugu mashuleni

    Watendaji kata na wakuu wa shule wengi weziwezi sana mkuu wa wilaya asipoangalia watu watamuaribia 6m daaaah ni hataree
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

    Nyie moderators ni wapumbavu kila uzi mnafuta ngoja nihamie twitter ni waache na legacy yenu ya magufuli
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

    Hivi lile somo letu pendwa la historia yetu kuanzia darasa kwanza hadi kidato cha sita imekuwaje mbona kimya mpk sasa?! Au lilizikwa na mwendazake
  6. M

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI bajeti yenu siielewi

    Sawa mama umy
  7. M

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI bajeti yenu siielewi

    Nimetuli mkuu kama ulivyoagiza
  8. M

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI bajeti yenu siielewi

    Nilijua tu haya yatakuwa majibu lakini siwangeandaaa upya kwa kulikuwa na uharaka gani wa kuwasilisha bajeti hiyo
  9. M

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI bajeti yenu siielewi

    Wizara ya TAMISEMI bajeti yao siielewi kwani inaonekana bora ya jafoo kuliko alieopo ni hatari nyumba zinajengwa kwa mamilioni ya pesa mfano kuna nyumba nimeona inajegwa kwa 830m nyingine uzio tu 170 M hivi mnatutendea haki vijana wa kitanzania na wananchi kwa ujumla. Mlidanganya ajira za...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Vijana tunadharaulika sana, tufanye nini ili kujikwamua na madharau hayo ya viongozi wetu?

    Bando mkuu hauwewe alijakugusa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Vijana tunadharaulika sana, tufanye nini ili kujikwamua na madharau hayo ya viongozi wetu?

    Halafu wewe ni kaada mtiifu na hunakazi kazi yako imebaki kufundisha tuisheni wasalimie pande za bankonko.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Vijana tunadharaulika sana, tufanye nini ili kujikwamua na madharau hayo ya viongozi wetu?

    Siwezi kujiua iyyman yangu hairuhusu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Vijana tunadharaulika sana, tufanye nini ili kujikwamua na madharau hayo ya viongozi wetu?

    Nimekuwa nafatilia bunge bajeti tangu lianze vijana tumekuwa tunadharaurika kila kiongozi anatusema sisi vibaya tufanyeje ili kuepuka kikombe hiki. Alianza mhe spika vijana wengi akimaanisha karibia wote hawaaminiki hii aliwakusanya nadhani mpk vijana wake waliowazaaa. Leooo hii ndo kali...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Walimu wapya 6000 kuajiriwa ifikapo Juni, kuanza na waliojitolea kwanza

    Acha utoto tunaongelea maisha ya watu hapa hzo mada peleka kwenye jukwaaa watoto wenzako
  15. M

    JamiiForums Tanzania Walimu wapya 6000 kuajiriwa ifikapo Juni, kuanza na waliojitolea kwanza

    Mzee typing error mkuu
Back
Top Bottom