Wana JF,
Naombeni mnisaidie kitu kimoja, nina mpenzi wangu mmoja kiukweli nilimpenda sana ila sasa kunasiku nikamuuliza kama yeye ni bikra akaniambia yeye ni bikra.
Sasa kuna siku akabadilika tena akaniambia "kuna kitu nataka nikwambie ila usipanic nikikwambia"ni kasema niambie tu...
Jamani nyie wadada wa siku hizi hivi mnataka mtu awapende vipi ili mtu kama anawapenda maana kila kitu mnapewa ila bado mnaishia kusaliti tu mna maana gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.