Recent content by mwekwa ntandu

  1. mwekwa ntandu

    Nimezaliwa Pemba nimekulia DAR(Faida ya Muungano)

    Wewe huwa ni lijinga sema Leo nime like comment Yako,na Mimi namuongezea mtoa mada🖕🖕🖕🖕🖕
  2. mwekwa ntandu

    Ushauri wenu Wakuu wahadhiri wanao omba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Naiona pesa nje nje,natamani huyo ndio angekuwa binti yangu yaani ningemuwekea mtego huyo bazazi domo zege,mtego ambao hajawahi kuuona kwenye hii dunia,na angelia kikwao maana pesa nitakayompiga baada ya fumanizi ili ailipe inabidi akope misharahara yake yote mpaka anastaafu na utamu asingekula...
  3. mwekwa ntandu

    Polisi: Mwanamtandao Ashlee Jenae alifia Hospitali baada ya kukutwa amejinyonga

    Connect dots,ilianza ya muhubiri kutoka marekani kuzushiwa ameingiza vitu vinavyohamasisha ushoga ila baada ya waumini na watu wengine kupaza sauti nadhani mkuu wa mkoa alivutiwa simu moja tu azime hilo soo maana kizaa zaa kingekuwa kikubwa,haya hatujakaa sawa "ameuliwa" huyu wa zanzibar.kifupi...
  4. mwekwa ntandu

    Mtoto aliyefariki, arudishiwa uhai baada ya kuombewa!

    Kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha dini na utaahira,maana hata taahira huwa anajiona smart mbele ya wenye utashi😅
  5. mwekwa ntandu

    Mwanamuziki Matonya ashtakiwa kwa ubakaji nchini Kenya

    Tatizo hawa celebrity figure wanapokuwa kwenye peak huwa wanatumika kwenye dhulma na unyonyaji dhidi ya wananchi wakati wangekuwa pamoja na wananchi,wananchi wangewatetea kwenye shida zao.Nakumbuka huyu mshenzi alishawahi kukata mauno kwenye kampeni za CCM miaka ya nyuma.wakenya fungeni hilo...
  6. mwekwa ntandu

    Kuendelea kuwa masikini katika karne hii nikujitakia wenyewe

    Uzi wa kisenge kuliko hata usenge wenyewe,huwezi amini huyo Godlove anaishi maisha ya shida kuliko hata watanzania wengi tu,mtoa mada kaathiriwa na maisha ya mtandaoni
  7. mwekwa ntandu

    Hizi Shilingi mia mbili za sasa hivi mnazielewa wakuu?

    Ukiona hivyo ujue uchumi umeshuka mazee,ilianza mia imepotea kabisa yaani Sasa hivi sh 100 haipo kwenye mzunguko,afu inafuata 200.pesa madafu sasa hivi haina thamani na kadri hawa vilaza walioshika hatamu kiharamu wakiendelea kuongoza ndio shilingi itashuka thamani zaidi.Uchumi wetu ume stack...
  8. mwekwa ntandu

    “Trauma ya Maisha: Nilimkuta Dada Yangu Akiinamishwa na Msela, Mpaka leo sitaki kwenda kwake

    Usinikumbushe bro,Mimi pia nilimkumta sister wangu(mtoto wa mama mkubwa) japo yeye alikuwa hajainamishwa sema yeye alikuwa anauchezea uboo Kwa mikono na jamaa linalia kweli kama toto😂😂 huku Kuna msenge* mwingine alikuwa kwenye mlango wa pagala analinda usalama japo naye alinigonewa kuangalia...
  9. mwekwa ntandu

    Msaada: Matibabu ya homa ya nguruwe

    Afu nyinyi wafugaji mliofiwa na nguruwe ndio mnawauzia wauzaji wa nyama za nguruwe za mitumba za kona ya bwiru pale watu mpaka tunakula mishikaki ya nguruwe wa kuchoma mpaka 500 mshikaki tena mkubwa😁😁 kumbe ni nguruwe wenye homa🖕 ndio maana mpaka siku hizi sidindishi vizuri wife anasema niko...
  10. mwekwa ntandu

    Napendekeza katika ndoa kuwe na 50/50 kama kupika na sisi wanaume tuwe tunapika

    Tuliosoma psychology tumeshaelewa kabisa hili ni jike sema limejipa jina la kiume makusudi ili kuwahadaa watu wengi humu,Huyu na mpumbavu mwingine wa kuitwa sera* ni mpango mkakati wa kuwahadaa ma genious humu ili muingie mkenge.SIDANGANYIKI
  11. mwekwa ntandu

    Natamani Dar ipate skyline kama miji hii ya Asia in the next 10 years

    Mimi naomba kuuliza hiyo mito inayopita kati kati ya miji ya nchi zilizoendelea huwa imechepushwa/kutengenezwa(man made) au ni mito ya asili ulikuwepo tangu mwanzo Kwa hiyo mji umeukuta mto!!??? Na je,Kwa nchi yetu tunaweza kuwa na mito ya namna hiyo katikati ya mji au geography yetu hairuhusu
  12. mwekwa ntandu

    Kwanini chakula Cha MSIBANI ni kitamu?

    Ngoja niwape Siri,chakula Cha msibani kinapikwa na wataalamu wengi(wananzengo) Kila mmoja ana ufundi wake ndio maana wamama wapishi wanatoa kitu kikali,tofauti na mama junia nyumbani anapika pilau kama anapika kande😁😁, lakini pia nyenzo/vifaa vya upishi mara nyingi ni natural yaani ni Kuni au...
  13. mwekwa ntandu

    Lakini ukweli huu ni dawa na ni lazima tumeze. Tutake Tusitake

    Umenifunza kitu kikubwa sana hapa mzee wa kazi🙏🙏
  14. mwekwa ntandu

    GSM (zamani Home Shopping Center) ni moja ya Kampuni hatari sana kwa Watanzania

    Yanga timu yangu ila tangu huyu mshenzi wa GSM alipotangaza amechangia harambee ya kuwachangia nzi wa kijani bilioni 10 ili wafanye uharamia wao wa kuingia madarakani kwa nguvu,NIMEICHUKIA YANGA VIBAYA SANA na nawaombea wasipate ubingwa msimu huu na jezi sijanunua na kadi ya uanachama...
  15. mwekwa ntandu

    Nimekaa nimeitafakari sana ile picha ya sayari yetu Dunia iliyopigwa na NASA imenifunza mengi

    Ndio hata mimi nashangaa kiongozi,yaani lengo la mtoa mada ni kuona utofauti wa kimaisha kati ya nchi na nchi na hazitaki hizo tofauti!! Yeye anataka kusiwe na mipaka Wala nchi zisiwe na jeshi,yaani ukitaka kwenda uswis ukaishi kama raia wa kule yaani iwe wewe tu na nauli Yako afu ukifika huko...
Back
Top Bottom