Recent content by mwekwa ntandu

  1. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi wa meli ya Azam Sealink namba 2 atuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka 14 ndani ya meli hiyo ikiwa safarini usiku

    Hii kesi ikichunguzwa vizuri bila mihemko tutagundua mengi sana nyuma ya pazia.utapeli umekuwa mwingi sana ili watu wajipatie pesa
  2. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Hata kama mnawapenda sana polisi nakemea kitendo cha wananchi kumshambulia mtu aliyekuwa akimpiga traffic police, wangemfikisha kituoni

    Wanajeshi ndio wamemsaidia huyo nyange nyange asiendelee kupewa kipondo heavy tena na hapo wameingilia ni baada ya kuona huyo mla rushwa anaweza kuuliwa maana na wenyewe walikuwa wanafurahi namna anavyosulubiwa,acha upotoshaji
  3. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Basi stick hapo,umeshajipata mtu wangu😁
  4. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Yap inawezekana vile vile maana starehe yako sio sawa na yangu,ndio maana Kuna walevi wa mpira,magari,uchi,madaraka,fame and so on na Kila mtu na starehe yake
  5. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Utamu wa pombe ni stimu,Sasa sio tamu kivipi kama ambavyo ilivyo utamu wa limao ni uchachu wake
  6. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Sasa kama hunywi pombe Wala huvuti bangi we umejuaje kwamba bangi Ina stimu au unatuchora tu😁😁
  7. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Neno kuntu,kadri maarifa yanavyozidi kupanuka ndio utapeli wa dini zote mbili uislam na ukristo unavyozidi kuonekana live bila chenga,DINI NI UTAPELI
  8. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Na ukisizi kutokana na bangi basi jua wewe ni kichwa panzi yaani pombe haikufai,wazee wa kusizi wanaitumia bangi kama Busta baada ya kuzimua pombe kwanza.kwamba uvute bangi peke yake usizi wewe ni bora uache ulevi tu maana haukufai
  9. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kufuru ya awamu hii haijawahi tokea

    Kama kuporomosha majumba ndio maendeleo basi hii nchi ni zaidi ya ghost country,tumerudi enzi za kikwete ambapo watu walikuwa wanamwaga pesa kwenye bendi za kikongo (mapedeshee) yaani ni kufuru huku mama zetu na dada zetu hospital wanajifungulia chini ya sakafu.KIFUPI TU NCHI INA WASHENZI WENGI...
  10. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Konyagi za sasa hazileweshi kama zamani

    Utamu wa pombe ni stimu kichwani,na sio utamu wa ladha mdomoni.Yaani utamu wa pombe ni ile umekunywa afu unaanza kuhisi raha bila kujua raha imetoka wapi 😁😁 yaani unakuwa mchangamfu ghafla.Kifupi tu utamu wa pombe uko kichwani na Kwenye damu(uchangamfu ) na sio ladha ya pombe eti imepikwaje...
  11. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi CCM: Kihongosi out, Manara inn

    Yule mama hana chembe ya uongozi hata kidogo,walio chini yake hawapendi kufanya nae kazi ila basi ni njaa tu
  12. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Dawa kuacha pombe kuwasili: Maduka kiujengwa pembezoni mwa Baa Kubwa!

    Katibu mkuu wa wizara ya afya anachekesha kama sio ndugu yako,yaani kifupi ni kichaa
  13. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi kupigwa vibaya kisa 1500 ya mchango, walimu wa kujitolea

    Hizo kambi walimu wanazikomalia ili na wenyewe waponeemo kwenye michango ya pesa na chakula wanachochanga wazazi, nothing more
  14. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Katika kitu kimebakia kama nchi tunachojivunia ni hichi tuu

    Sio kweli bana,balimi ni habari nyingine aisee.mimi kwa kweli safari lager siielewi we nipe balimi tu💪💪💪
Back
Top Bottom