Ukioa mwanajeshi,polisi,mfanyakazi wa bank,nesi(japo sio sana),baa medi KUGONGEWA NI LAZIMA labda pona pona yako awe hana tako na sura haieleweki,vinginevyo hivyo vigezo vikitimia hesabu maumivu
Twende mbele turudi nyuma,hii sekta ya pombe imekaa kikatili sana sio kwa wanywaji (wateja)Wala wahudumu,Huwa naona muhudumu yeyote wa bar ni mtumwa aliyechangamka.hebu fikiria mtu analipwa elfu 50 kwa mwezi Kwa hiyo ili aendane na hali ya maisha ni lazima auze uchi kwa wanaume tena kwa bei...
Tena sio kidogo,wanajitambua maana Kila muhimili una nguvu ya kusimamia mamlaka yake bila kuingiliwa na muhimili mwingine na ndio maana hata kiuchumi wametuacha mbali.huku uswahilini kajamba nani,mahakimu na majaji wakiitwa dodoma wakala broiler na kunywa mvinyo na viposho uchwara wanakuwa kama...
Sijashangazwa na sanduku Wala watu wanaotizama sanduku maana najua hawana kazi za kufanya,kilichonishangaza ni huo mtaro mchafu hapo na bila shaka hata wewe umeshahisi harufu yake,ila Kuna hawa wasenge wanakula mishahara ya bure na posho Kila mwezi wanajiita mabwana na mabibi afya,mpaka leo huwa...
Same problem,nina noti za elfu kumi ziko mbili ziliungua upande,nimeenda NMB tawi la Kenyatta mwanza muhudumu ananiambia noti zilizoungua hawapokei eti wanapokea zilizoliwa na panya,NMB ****,nimekosa hela ya pombe Leo jmosi
Shithole country,wizara ya kazi,sijui ajira na ujinga ujinga mwingine ipo na Kuna watu wanakula mishahara minono na mengine yapo bungeni yameingia kwa kumwaga damu za WATANGANYIKA wenye uchungu na nchi Yao.Tunayoyaona huko viwandani ndio utumwa wenyewe Sasa
Tuna nchi ya kiseng* sana,ukipata nafasi ya kwenda kuishi nchi za watu usigeuke nyuma nenda mazima na usirudi kabisa,maana Tanzania ni jehanamu na CCM ndio mashetani yenyewe
Kuna ndugu yangu Yuko serikalini,yule mwamba na familia yake wana maisha magumu sana na chanzo ni mikopo ambayo amekopa kwenye taasisi mbali mbali za mikopo,Huwa namfananisha huyo mwamba na genge la wahalifu wa CCM ,Kwa nchi kama yetu hakuna haja ya kuendeshwa na mikopo wewe dhibiti wizi na...
Watu wanataka status mtaani kwamba nimeoa mwanamke mwenye tako kubwa mrefu kama twiga wanaume wote wanamsifia,ana maisha expensive yaani ni mwanamke matawi na Kila weekend anataka nimtoe out akale Bata,braza utapigwa uchakae acha kushoboka na slay queen walioingia kwenye ndoa Kwa bahati mbaya...
Vijana wengi malimbukeni wameoa au wako kwenye mahusiano na Malaya hivyo wanachukulia wanawake wote walioko kwenye mahusiano ni Malaya kama wake/wapenzi wao.Tuulize sisi tuliooa wanawake waliofunzwa kwao tunavyofurahia maisha ya ndoa hata kama tuna pesa za mawazo.SHIDA ZAKO USIZIFANYE ZIWE SHIDA...
Tamaa zinaendelea kuwaponza wanawake,muheshimu mumeo u super woman hauna maana kwenye familia.Inavyoonekana huyo mama aliona mali zipo na mume hana Cha kumtisha Kwa hiyo kilichobaki ni talaka ili tugawane mali afu mali zenyewe asilimia zaidi ya 85 ni jasho la mwanaume.Mimi mwenyewe nakuwahisha...
Ok ni sawa anatangaza biashara yake kupitia social media,je, haiwezekani kupata publicity kwenye hizo social medias direct bila show za wasanii maana hapo unakuwa umeongeza gharama kubwa ya kudhamini show wakati ungetumia gharama kidogo kwenye socila medias na Bado ukawafikia watu wengi zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.