Recent content by mwekwa ntandu

  1. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kata (CCM) ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mkewe

    Ukioa mwanajeshi,polisi,mfanyakazi wa bank,nesi(japo sio sana),baa medi KUGONGEWA NI LAZIMA labda pona pona yako awe hana tako na sura haieleweki,vinginevyo hivyo vigezo vikitimia hesabu maumivu
  2. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kagame alinda vijana wa Rwanda kwa wivu mkubwa

    Twende mbele turudi nyuma,hii sekta ya pombe imekaa kikatili sana sio kwa wanywaji (wateja)Wala wahudumu,Huwa naona muhudumu yeyote wa bar ni mtumwa aliyechangamka.hebu fikiria mtu analipwa elfu 50 kwa mwezi Kwa hiyo ili aendane na hali ya maisha ni lazima auze uchi kwa wanaume tena kwa bei...
  3. mwekwa ntandu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahakama yaamua Uchaguzi Mkuu Kenya unapaswa kufanyika Agosti 11, 2026, hata hivyo utekelezaji wake wasitishwa

    Tena sio kidogo,wanajitambua maana Kila muhimili una nguvu ya kusimamia mamlaka yake bila kuingiliwa na muhimili mwingine na ndio maana hata kiuchumi wametuacha mbali.huku uswahilini kajamba nani,mahakimu na majaji wakiitwa dodoma wakala broiler na kunywa mvinyo na viposho uchwara wanakuwa kama...
  4. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Sijashangazwa na sanduku Wala watu wanaotizama sanduku maana najua hawana kazi za kufanya,kilichonishangaza ni huo mtaro mchafu hapo na bila shaka hata wewe umeshahisi harufu yake,ila Kuna hawa wasenge wanakula mishahara ya bure na posho Kila mwezi wanajiita mabwana na mabibi afya,mpaka leo huwa...
  5. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Crdb wamekataa kunibadilishia hela chakavu nielekezeni pa kwenda

    Same problem,nina noti za elfu kumi ziko mbili ziliungua upande,nimeenda NMB tawi la Kenyatta mwanza muhudumu ananiambia noti zilizoungua hawapokei eti wanapokea zilizoliwa na panya,NMB ****,nimekosa hela ya pombe Leo jmosi
  6. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Kuna changamoto Gani umekutana nazo kama ushawahi kufanya kazi kiwandani?

    Shithole country,wizara ya kazi,sijui ajira na ujinga ujinga mwingine ipo na Kuna watu wanakula mishahara minono na mengine yapo bungeni yameingia kwa kumwaga damu za WATANGANYIKA wenye uchungu na nchi Yao.Tunayoyaona huko viwandani ndio utumwa wenyewe Sasa
  7. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Serikali inafanya tathmini ya Tamko la Jumuiya ya Madola kuhusu Lissu, tutawapa majibu

    Tuna nchi ya kiseng* sana,ukipata nafasi ya kwenda kuishi nchi za watu usigeuke nyuma nenda mazima na usirudi kabisa,maana Tanzania ni jehanamu na CCM ndio mashetani yenyewe
  8. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Harmonize ana wimbo kauweka YouTube, Siku Mbili haujafikisha views 600! Sio 600K. Mia Sita!

    Hatusikilizi uchafu,ubunifu ziro sauti yenyewe ya kuimba ni ka mzozo ni bora nimsikilize civilian coin😁
  9. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Waziri Gwajima, fuatilia wimbi la watoto wanaofanyishwa biashara ya kuuza mayai mitaani hadi usiku

    Umaskini umaskini ufukara ufukara ufukara na chanzo ni CCM
  10. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania IMF yaipatia Tanzania Dola Milioni 443.9 baada ya kukamilisha Tathimini ya Mwisho

    Kuna ndugu yangu Yuko serikalini,yule mwamba na familia yake wana maisha magumu sana na chanzo ni mikopo ambayo amekopa kwenye taasisi mbali mbali za mikopo,Huwa namfananisha huyo mwamba na genge la wahalifu wa CCM ,Kwa nchi kama yetu hakuna haja ya kuendeshwa na mikopo wewe dhibiti wizi na...
  11. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Wakuu huyo mwanamke ulienaye minya kidogo eneo la transaction kwa wiki mbili akiendelea kubaki njoo nikupe 2ml

    Watu wanataka status mtaani kwamba nimeoa mwanamke mwenye tako kubwa mrefu kama twiga wanaume wote wanamsifia,ana maisha expensive yaani ni mwanamke matawi na Kila weekend anataka nimtoe out akale Bata,braza utapigwa uchakae acha kushoboka na slay queen walioingia kwenye ndoa Kwa bahati mbaya...
  12. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Wakuu huyo mwanamke ulienaye minya kidogo eneo la transaction kwa wiki mbili akiendelea kubaki njoo nikupe 2ml

    Vijana wengi malimbukeni wameoa au wako kwenye mahusiano na Malaya hivyo wanachukulia wanawake wote walioko kwenye mahusiano ni Malaya kama wake/wapenzi wao.Tuulize sisi tuliooa wanawake waliofunzwa kwao tunavyofurahia maisha ya ndoa hata kama tuna pesa za mawazo.SHIDA ZAKO USIZIFANYE ZIWE SHIDA...
  13. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Mzimbabwe aua mke na watoto na kutoroka UK

    Tamaa zinaendelea kuwaponza wanawake,muheshimu mumeo u super woman hauna maana kwenye familia.Inavyoonekana huyo mama aliona mali zipo na mume hana Cha kumtisha Kwa hiyo kilichobaki ni talaka ili tugawane mali afu mali zenyewe asilimia zaidi ya 85 ni jasho la mwanaume.Mimi mwenyewe nakuwahisha...
  14. mwekwa ntandu

    JamiiForums Tanzania Hivi waandaaji wa show za wasanii huwa wanapata vipi faida?

    Ok ni sawa anatangaza biashara yake kupitia social media,je, haiwezekani kupata publicity kwenye hizo social medias direct bila show za wasanii maana hapo unakuwa umeongeza gharama kubwa ya kudhamini show wakati ungetumia gharama kidogo kwenye socila medias na Bado ukawafikia watu wengi zaidi
Back
Top Bottom