Recent content by mwekwa ntandu

  1. mwekwa ntandu

    Makato makubwa ya Bank katika kuhamish fedha

    changia uchumi wa nchi ndugu,unadhani mafuta ya kuungurumisha ma V8 tutayatoa wapi !!?? na hizi gharama za viongozi kuruka na ndege na misafara yao zitatoka wapi?? hujajiuliza kuhusu posho,marupurupu na mishahara ya kufuru ya viongozi zinapatikana vipi!!?? Changia uchumi ili mama mkojani na...
  2. mwekwa ntandu

    Wapi nitapata kazi ya malipo ya 5000 kwa siku?

    watu wanaongea kirahisi rahisi sana,eti nenda kiwanda cha bia mara Coca-Cola,mara nenda ilemela kule kwenye viwanda vya samaki eti kazi za kumwaga!!!.Nyie watoto wa mama hamjui mziki wa ajira,hizo kazi zenyewe za viwandani zinahitaji connection na malipo ni kiduchu kazi mlima na kuzipata ni kwa...
  3. mwekwa ntandu

    Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

    vitu vyenye tija na impact kwa kila mtanzania KAMA UMEME vimetushinda tunaenda kuhangaika na vitu vya kishenzi,yaani unamlingishia almasi mtu aliye na njaa ya wiki nzima badala ya kumpa chakula ili aokoe uhai wake kwanza.Nchi ya laana
  4. mwekwa ntandu

    Serikari imefanya msaada wangu kwa familia usiwe na matunda

    hali hiyo wanayopitia ndugu zako ndio tuliyonayo maelfu ya vijana tunaoendesha biashara zetu kwa kutegemea umeme,TUMEFUGA HASIRA NA CHUKI KALI DHIDI YA HII SERIKALI YA WANYANG'ANYI NA MAJIZI
  5. mwekwa ntandu

    Nyumba Mpya Zinazozwa Chanika Zinausalama Kweli?

    sema wewe jamaa umekaa kishari shari[emoji23]
  6. mwekwa ntandu

    Leo tuwakumbuke wanamuziki wa mamtoni waliotamba miaka ya nyuma

    EXHIBIT huyu mwamba hatajwi sana ila ana dude lake silikumbuki vizuri jina beat yake imeshiba mpaka basi, something like easy kuna mwanadada ameimba chorus
  7. mwekwa ntandu

    Uyui secondary tabora boys 1994....1996

    ahaaaaaa mkuu inaonekana ulikuwa na jimama mitaa ya national wewe[emoji1787] Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
  8. mwekwa ntandu

    Uyui secondary tabora boys 1994....1996

    picha zilikuwa wapi au historical room,Mimi intake ya 2000 ndo naanza form one pale sijajua mkuu wewe wa lini pengine inawezekana wa kitambo Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
  9. mwekwa ntandu

    Uyui secondary tabora boys 1994....1996

    tabora boys ulikuwa bweni gani wewe?,ruhinda,taifa huru,kimweri, agriculture,sina au milambo.napakumbuka madafu Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
  10. mwekwa ntandu

    Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

    wewe mkund* unaiponda mwanza na pengine hata hujawahi kufika,kwan dar kuna starehe gan ya maana zaidi tu wadananda na malaya wamejazana afu viwanja vyao vinanuka mavi.mkund* wewe heshimu miji ya watu.SASA DAR NAPO KUNA MAISHA GANI ZAIDI YA MALAYA WA KICHINA KIDIMBWI hata huku mwanza wapo...
  11. mwekwa ntandu

    Jana nimeenda club kwa mara ya kwanza, nimetoka nduki baada ya kuuziwa maji 4000/=

    sema waja mna laana,kwa hiyo mtoto wa mwenzenu achezee muziki nje ya geti kisa ana hela ya mawazo[emoji23][emoji1787]
  12. mwekwa ntandu

    Hali ya upatikanaji wa ajiraTanzania kwa sasa ni ngumu sana

    nimejiajiri mjinga wewe na biashara yangu inategemea umeme ila kutokana na hayo majizi na majambazi ya CCM kukumbatia ufisadi biashara yangu soon inaenda kufa kutokana na mgao unaosababishwa na hao washenzi.AFU ANATOKEA BWEGE MMOJA KAMA WEWE UNAYEISHI KWA KULAMBA WATU MIGUU unaanza kuandika mashudu
  13. mwekwa ntandu

    Hali ya upatikanaji wa ajiraTanzania kwa sasa ni ngumu sana

    upeo wako wa kufikiri mdogo sana na sitashangaa mtu kama wewe siku moja ukapewa madaraka ili uongoze na hii ni kutokana na mifumo yetu mibovu kwamba ukiwa mtu wa kujipendekeza basi utaula na hii ndio nature ya chama cha mataahira
  14. mwekwa ntandu

    Hali ya upatikanaji wa ajiraTanzania kwa sasa ni ngumu sana

    taja hizo fursa angalau mbili tu ambazo graduate anaweza kujiajili akimaliza chuo!!?? au unaandika kama punguani.kiuhalisia hali ni mbaya sana na hii inatokana na kukabidhi nchi kwa majizi,wasio na upeo wa kuongoza,mafisadi ambao ni zao la chama cha ovyo CCM
Back
Top Bottom