Naiona pesa nje nje,natamani huyo ndio angekuwa binti yangu yaani ningemuwekea mtego huyo bazazi domo zege,mtego ambao hajawahi kuuona kwenye hii dunia,na angelia kikwao maana pesa nitakayompiga baada ya fumanizi ili ailipe inabidi akope misharahara yake yote mpaka anastaafu na utamu asingekula...
Connect dots,ilianza ya muhubiri kutoka marekani kuzushiwa ameingiza vitu vinavyohamasisha ushoga ila baada ya waumini na watu wengine kupaza sauti nadhani mkuu wa mkoa alivutiwa simu moja tu azime hilo soo maana kizaa zaa kingekuwa kikubwa,haya hatujakaa sawa "ameuliwa" huyu wa zanzibar.kifupi...
Tatizo hawa celebrity figure wanapokuwa kwenye peak huwa wanatumika kwenye dhulma na unyonyaji dhidi ya wananchi wakati wangekuwa pamoja na wananchi,wananchi wangewatetea kwenye shida zao.Nakumbuka huyu mshenzi alishawahi kukata mauno kwenye kampeni za CCM miaka ya nyuma.wakenya fungeni hilo...
Uzi wa kisenge kuliko hata usenge wenyewe,huwezi amini huyo Godlove anaishi maisha ya shida kuliko hata watanzania wengi tu,mtoa mada kaathiriwa na maisha ya mtandaoni
Ukiona hivyo ujue uchumi umeshuka mazee,ilianza mia imepotea kabisa yaani Sasa hivi sh 100 haipo kwenye mzunguko,afu inafuata 200.pesa madafu sasa hivi haina thamani na kadri hawa vilaza walioshika hatamu kiharamu wakiendelea kuongoza ndio shilingi itashuka thamani zaidi.Uchumi wetu ume stack...
Usinikumbushe bro,Mimi pia nilimkumta sister wangu(mtoto wa mama mkubwa) japo yeye alikuwa hajainamishwa sema yeye alikuwa anauchezea uboo Kwa mikono na jamaa linalia kweli kama toto😂😂 huku Kuna msenge* mwingine alikuwa kwenye mlango wa pagala analinda usalama japo naye alinigonewa kuangalia...
Afu nyinyi wafugaji mliofiwa na nguruwe ndio mnawauzia wauzaji wa nyama za nguruwe za mitumba za kona ya bwiru pale watu mpaka tunakula mishikaki ya nguruwe wa kuchoma mpaka 500 mshikaki tena mkubwa😁😁 kumbe ni nguruwe wenye homa🖕 ndio maana mpaka siku hizi sidindishi vizuri wife anasema niko...
Tuliosoma psychology tumeshaelewa kabisa hili ni jike sema limejipa jina la kiume makusudi ili kuwahadaa watu wengi humu,Huyu na mpumbavu mwingine wa kuitwa sera* ni mpango mkakati wa kuwahadaa ma genious humu ili muingie mkenge.SIDANGANYIKI
Mimi naomba kuuliza hiyo mito inayopita kati kati ya miji ya nchi zilizoendelea huwa imechepushwa/kutengenezwa(man made) au ni mito ya asili ulikuwepo tangu mwanzo Kwa hiyo mji umeukuta mto!!??? Na je,Kwa nchi yetu tunaweza kuwa na mito ya namna hiyo katikati ya mji au geography yetu hairuhusu
Ngoja niwape Siri,chakula Cha msibani kinapikwa na wataalamu wengi(wananzengo) Kila mmoja ana ufundi wake ndio maana wamama wapishi wanatoa kitu kikali,tofauti na mama junia nyumbani anapika pilau kama anapika kande😁😁, lakini pia nyenzo/vifaa vya upishi mara nyingi ni natural yaani ni Kuni au...
Yanga timu yangu ila tangu huyu mshenzi wa GSM alipotangaza amechangia harambee ya kuwachangia nzi wa kijani bilioni 10 ili wafanye uharamia wao wa kuingia madarakani kwa nguvu,NIMEICHUKIA YANGA VIBAYA SANA na nawaombea wasipate ubingwa msimu huu na jezi sijanunua na kadi ya uanachama...
Ndio hata mimi nashangaa kiongozi,yaani lengo la mtoa mada ni kuona utofauti wa kimaisha kati ya nchi na nchi na hazitaki hizo tofauti!! Yeye anataka kusiwe na mipaka Wala nchi zisiwe na jeshi,yaani ukitaka kwenda uswis ukaishi kama raia wa kule yaani iwe wewe tu na nauli Yako afu ukifika huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.