changia uchumi wa nchi ndugu,unadhani mafuta ya kuungurumisha ma V8 tutayatoa wapi !!?? na hizi gharama za viongozi kuruka na ndege na misafara yao zitatoka wapi?? hujajiuliza kuhusu posho,marupurupu na mishahara ya kufuru ya viongozi zinapatikana vipi!!?? Changia uchumi ili mama mkojani na...
watu wanaongea kirahisi rahisi sana,eti nenda kiwanda cha bia mara Coca-Cola,mara nenda ilemela kule kwenye viwanda vya samaki eti kazi za kumwaga!!!.Nyie watoto wa mama hamjui mziki wa ajira,hizo kazi zenyewe za viwandani zinahitaji connection na malipo ni kiduchu kazi mlima na kuzipata ni kwa...
vitu vyenye tija na impact kwa kila mtanzania KAMA UMEME vimetushinda tunaenda kuhangaika na vitu vya kishenzi,yaani unamlingishia almasi mtu aliye na njaa ya wiki nzima badala ya kumpa chakula ili aokoe uhai wake kwanza.Nchi ya laana
hali hiyo wanayopitia ndugu zako ndio tuliyonayo maelfu ya vijana tunaoendesha biashara zetu kwa kutegemea umeme,TUMEFUGA HASIRA NA CHUKI KALI DHIDI YA HII SERIKALI YA WANYANG'ANYI NA MAJIZI
EXHIBIT huyu mwamba hatajwi sana ila ana dude lake silikumbuki vizuri jina beat yake imeshiba mpaka basi, something like easy kuna mwanadada ameimba chorus
picha zilikuwa wapi au historical room,Mimi intake ya 2000 ndo naanza form one pale sijajua mkuu wewe wa lini pengine inawezekana wa kitambo
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
tabora boys ulikuwa bweni gani wewe?,ruhinda,taifa huru,kimweri, agriculture,sina au milambo.napakumbuka madafu
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
wewe mkund* unaiponda mwanza na pengine hata hujawahi kufika,kwan dar kuna starehe gan ya maana zaidi tu wadananda na malaya wamejazana afu viwanja vyao vinanuka mavi.mkund* wewe heshimu miji ya watu.SASA DAR NAPO KUNA MAISHA GANI ZAIDI YA MALAYA WA KICHINA KIDIMBWI hata huku mwanza wapo...
nimejiajiri mjinga wewe na biashara yangu inategemea umeme ila kutokana na hayo majizi na majambazi ya CCM kukumbatia ufisadi biashara yangu soon inaenda kufa kutokana na mgao unaosababishwa na hao washenzi.AFU ANATOKEA BWEGE MMOJA KAMA WEWE UNAYEISHI KWA KULAMBA WATU MIGUU unaanza kuandika mashudu
upeo wako wa kufikiri mdogo sana na sitashangaa mtu kama wewe siku moja ukapewa madaraka ili uongoze na hii ni kutokana na mifumo yetu mibovu kwamba ukiwa mtu wa kujipendekeza basi utaula na hii ndio nature ya chama cha mataahira
taja hizo fursa angalau mbili tu ambazo graduate anaweza kujiajili akimaliza chuo!!?? au unaandika kama punguani.kiuhalisia hali ni mbaya sana na hii inatokana na kukabidhi nchi kwa majizi,wasio na upeo wa kuongoza,mafisadi ambao ni zao la chama cha ovyo CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.