Wanajeshi ndio wamemsaidia huyo nyange nyange asiendelee kupewa kipondo heavy tena na hapo wameingilia ni baada ya kuona huyo mla rushwa anaweza kuuliwa maana na wenyewe walikuwa wanafurahi namna anavyosulubiwa,acha upotoshaji
Yap inawezekana vile vile maana starehe yako sio sawa na yangu,ndio maana Kuna walevi wa mpira,magari,uchi,madaraka,fame and so on na Kila mtu na starehe yake
Na ukisizi kutokana na bangi basi jua wewe ni kichwa panzi yaani pombe haikufai,wazee wa kusizi wanaitumia bangi kama Busta baada ya kuzimua pombe kwanza.kwamba uvute bangi peke yake usizi wewe ni bora uache ulevi tu maana haukufai
Kama kuporomosha majumba ndio maendeleo basi hii nchi ni zaidi ya ghost country,tumerudi enzi za kikwete ambapo watu walikuwa wanamwaga pesa kwenye bendi za kikongo (mapedeshee) yaani ni kufuru huku mama zetu na dada zetu hospital wanajifungulia chini ya sakafu.KIFUPI TU NCHI INA WASHENZI WENGI...
Utamu wa pombe ni stimu kichwani,na sio utamu wa ladha mdomoni.Yaani utamu wa pombe ni ile umekunywa afu unaanza kuhisi raha bila kujua raha imetoka wapi 😁😁 yaani unakuwa mchangamfu ghafla.Kifupi tu utamu wa pombe uko kichwani na Kwenye damu(uchangamfu ) na sio ladha ya pombe eti imepikwaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.