Salam,
kwa wale Watu wa IT,Computer science,Telecommunication na any related field...CCNA sio kitu kigeni sana kwao.Ni Course inayohusu Networking(Routing and Switching) na demand ya hii course ni kubwa katika soko la Ajira.
Mtihani wa hii course unagharimu si chini ya dola 300. Na kama...
Analog Camera
2MP -TSh45000
3MP -Tsh 55000
4MP -Tsh 68000
DVR - Tsh120,000(inategemea ni ya Channel ngapi).
ETC.
Coxial Cable 100m -130,000
Connector zake -1200@1
Ila pia ni vyema kufanyiwa survey ya eneo lako kabla hujaamua kuweka camera.
Analog Camera
2MP -TSh45000
3MP -Tsh 55000
4MP -Tsh 68000
DVR - Tsh120,000(inategemea ni ya Channel ngapi).
ETC.
Coxial Cable 100m -130,000
Connector zake -1200@1
Kwanza Camera zipo za aina mbili yaani IP na Analog Camera.Tofauti zao ni kwamba Analog ni Plug and play(passive),na bei zake kidogo ni nafuu.IP camera zinahitaji configuration kidogo. Bei za Camera zinatofautiana kutokana na Megapixel(uwezo wa picha),Zinaanzia 2MP mpaka 6MP etc.
Kawaida camera...
Kaka,Paka anayetafuna hawezi kukamata Panya!!
Tujikite kwenye haya:-
Mosi,Tuielimishe Jamii umuhimu wa katiba mpya na madhara ya katiba ya Sasa ambayo tuko nayo pasi nakuchoka!
Pili,Umuhimu wa Tume huru ya Uchaguzi usionekane kua na maslahi kwa wapinzani tuh kama ambavyo jamii inaaminishwa,...
Nilimaanisha hivi...hatupaswi kuwaachia wapinzani wapambane pekee yao katika upatikanaji wa katiba mpya na Tume huru,
Jambo gani liliwahi kusimamiwa na Wapinzani halafu likaungwa mkono na CCM.???Pengne mimi mgeni sjui!
....Ifike hatua tuwe tayari kujilaumu sisi wananchi kwa kutojua Umuhimu wa...
Kuwachia Wapinzani wapiganie Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya ni kujipa Faraja tuh ya tatizo na kamwe haitakua Suluhisho...
Siku tukifahamu kua hili jambo linawahusu wananchi kuliko Upinzani kutakua kushakucha!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.