Siasa zetu na Hatima ya Tanzania sehemu ya III: Asante Prof Safari Umesikika Vizuri

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Binafsi napenda sana wasomi ambao wanatumia akili zao ipasavyo. Napenda walio na akili wanapochangamsha akili zao.

Siku zote napiga kelele wapinzani mnasema mnataka kwenda Ikulu.mnatumia njia gani?Katiba hii yenye kumpa mamlaka Rais kuteua Tume ya Uchaguzi? Kwa Katiba hii yenye kumpa Nafasi ya ushindi Rais aliyepo Madarakani?

Ndipo napogundua either wapinzani ni wapumbavu (ashakum si matusi) au mamluki hawana nia ya dhati ya mabadiliko ya kisiasa.

Nlishatoa mifano mingi hapo nyuma. Na sasa nasema tena WAPINZANI KUWENI SERIOUS.ACHENI USANII MWAKA 2020 MNATEGEMEA NINI KWENYE UCHAGUZI? MNATAKA KUSHIRIKI UCHAGUZI MPATE NINI?

www.jamiiforums.com/threads/unafiki-wa-wanasiasa-wapinzani-uongozi-wetu-na-hatma-ya-tanzania-sura-ya-1.1646918
 
Mkuu GuDume uko sawa kabisa kwani, tulikwisha piga kelele hapa...wapinzania badala ya kulalama kila uchao ni vizuri wakajipanga namna ya kupata katiba Mpya....na wengine tumesema hivi hii ya uchaguzi wa serikali ya Mtaa ni trella bado picha uchaguzi mkuu 2020.

Wapinzani sisi tunshindwa wapi?
 
Kwa umri wa Prof. Safari kisiasa na kiutu uzima, angelifaa sana kuwa mshauri /external advicer wa Mh.Rais.
Mh.Rais ikimpendeza informal amuite Prof. Safari walau wajadili kidogo watakavyoona inafaa.
Watanzania wataendelea kujifunza mengi yaliyofanywa na Prof.Safari ingawa pengine hakupendwa au alisuswa katika safari yake.
 
Tindo kama ungekuwa umepata nafasi ya kusoma sehemu ya I na ya II nlishaeleza.mara nyingi nmekuwa nikisema hamna haja ya kutaka kufanya uchaguzi au kujipanga kwa uchaguzi ambao mnajua hamtashinda.badala yake wapinzani wadai katiba mpya.wadai mabadiliko ya katiba ambayo yataunda tume huru ya uchaguzi.bila hivyo wanapoteza nguvu na kuhatarisha tu maisha ya watu wao.

Mzee wa maelezo mazuri bila mbinu ya uhakika. Kwa maneno marahisi ni kuwa una uwezo mzuri wa kuandika lakini huna mbinu yoyote mpya zaidi ya lawama.
 
Tindo kama ungekuwa umepata nafasi ya kusoma sehemu ya I na ya II nlishaeleza.mara nyingi nmekuwa nikisema hamna haja ya kutaka kufanya uchaguzi au kujipanga kwa uchaguzi ambao mnajua hamtashinda.badala yake wapinzani wadai katiba mpya.wadai mabadiliko ya katiba ambayo yataunda tume huru ya uchaguzi.bila hivyo wanapoteza nguvu na kuhatarisha tu maisha ya watu wao.

..njia sahihi ni kufanya yote kwa msisitizo mkubwa.

..washiriki chaguzi, na wakati huohuo wapiganie katiba mpya.

..kushiriki uchaguzi hata hizi za hovyo kumeweza kuwapa wapinzani / vyama mbadala PLATFORM ya kupigania Tume huru ya uchaguzi, na Katiba mpya.
 
Tindo kama ungekuwa umepata nafasi ya kusoma sehemu ya I na ya II nlishaeleza.mara nyingi nmekuwa nikisema hamna haja ya kutaka kufanya uchaguzi au kujipanga kwa uchaguzi ambao mnajua hamtashinda.badala yake wapinzani wadai katiba mpya.wadai mabadiliko ya katiba ambayo yataunda tume huru ya uchaguzi.bila hivyo wanapoteza nguvu na kuhatarisha tu maisha ya watu wao.
Kwani unadhani kudai katiba mpya au tume huru ya uchaguzi vinadaiwa sawa na unavyomdai kaka yako fedha ulizomkopesha?

Kudai katiba mpya au tume huru ya uchaguzi ni harakati hivyo hakuna kukata tamaa na wananchi lazima waandaliwe!
 
JokaKuu vyama vya upinzani vinaposhiriki uchaguxi 2020 unategemea vitashinda zaidi ya majimbo 10? Sidhani.unashiriki uchaguzi ambao unajua utashindwa?then ukija kusema uliibiwa kura unadhani nani atakuelewa?

Wapinzani wanataka kushiriki uchaguzi au kushindana? Kushiriki miaka yote wamekuwa wakishiriki na kuja na malalamiko yaleyale.

Unaweza ukafanya kitu kile kile miaka yote na ukategemea matokeo tofauti? Huo sio wendawazimu?

..njia sahihi ni kufanya yote kwa msisitizo mkubwa.

..washiriki chaguzi, na wakati huohuo wapiganie katiba mpya.

..kushiriki uchaguzi hata hizi za hovyo kumeweza kuwapa wapinzani / vyama mbadala PLATFORM ya kupigania Tume huru ya uchaguzi, na Katiba mpya.
 
Wewe mwenye busara hujaonesha namna ya kudai hivyo vitu. Nyie watoto hamjui siasa sisi tumeanza miaka ya 90. 1992 ndo maana mnakosa heshima.suala la katiba mpya mch mtikila kalizungumzia since 1990s na kuwataka akina mrema wagomee uchaguzi.mrema alimini angeshinda.hakushinda.miala 20 later bado hili suala unasema ni mchakato? Mnawandaa vipi wananchi? Kwa nini mligomea uchaguzi wa serikali za mitaa?imeathiri nini ushindi wa ccm?haya ndo mambo ambayo prf safari anayaona.

Viongozi wenu wanatumia vyama hivi kwa maslahi yao.hawana nia ya kweli ya kuleta mabadiliko.kama hamjatambua hilo upumbavu wangu una hekima kuliko hekima yako wewe mwenye hekima.

Kama mpaka sasa mbowe anaamini bila yeye CHADEMA ITAKUFA. NYIE MNA AKILI KWELI?NANYI MNASEMA NDIYO MZEE.

Bila shaka na wewe ni mpumbavu tu! Kwani unadhani kudai katiba mpya au tume huru ya uchaguzi vinadaiwa sawa na unavyomdai kaka yako fedha ulizomkopesha?

Kudai katiba mpya au tume huru ya uchaguzi ni harakati hivyo hakuna kukata tamaa na wananchi lazima waandaliwe!
 
JokaKuu vyama vya upinzani vinaposhiriki uchaguxi 2020 unategemea vitashinda zaidi ya majimbo 10? Sidhani.unashiriki uchaguzi ambao unajua utashindwa?then ukija kusema uliibiwa kura unadhani nani atakuelewa?

Wapinzani wanataka kushiriki uchaguzi au kushindana? Kushiriki miaka yote wamekuwa wakishiriki na kuja na malalamiko yaleyale.

Unaweza ukafanya kitu kile kile miaka yote na ukategemea matokeo tofauti? Huo sio wendawazimu?

..wanapaswa kushinikiza mabadiliko kabla ya uchaguzi haujafanyika.

..Kususia uchaguzi mkuu kwa maoni yangu kuna GHARAMA kubwa zaidi.
 
Bogo hakuna wasomi ,nimepitia ripoti ya kule BBC kati ya vyuo bora 500 duniani east Africa kipo kimoja tu Nairobi university wengine wote vyuo vya Kata


State agent
 
Joka kuu. Tuongee kama wasomi. Nambie wapinzani lile trailer waliloliona kwenye uchaguzi wa wenyeviti. Unadhani picha litakuaje kwenye Udiwani na Ubunge? Unadhani ni Mkurugenzi gani ambaye amechoka kazi atangaze mshindi mpinzani? Unadhani wapinzani wanashindia wapi? Tuelezane haya mambo kinagaubaga.kuna watu watadhuriana sana ktk uchaguzi 2020 na matokeo yakitoka wapinzani watasema wameibiwa kura.25 years the same stories.unadhani wananchi watasemaje?

..wanapaswa kushinikiza mabadiliko kabla ya uchaguzi haujafanyika.

..Kususia uchaguzi mkuu kwa maoni yangu kuna GHARAMA kubwa zaidi.
 
Kushiriki ni gharama kubwa zaidi.

1. Pesa
2. Uhai wa wananchi
3. Muda

Niamini mimi.

..wanapaswa kushinikiza mabadiliko kabla ya uchaguzi haujafanyika.

..Kususia uchaguzi mkuu kwa maoni yangu kuna GHARAMA kubwa zaidi.
 
Kuwachia Wapinzani wapiganie Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya ni kujipa Faraja tuh ya tatizo na kamwe haitakua Suluhisho...

Siku tukifahamu kua hili jambo linawahusu wananchi kuliko Upinzani kutakua kushakucha!!
 
Nakukubalia. Nambie mwana CCM Aliye tayari kushiriki.

Kuwachia Wapinzani wapiganie Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya ni kujipa Faraja tuh ya tatizo na kamwe haitakua Suluhisho...

Siku tukifahamu kua hili jambo linawahusu wananchi kuliko Upinzani kutakua kushakucha!!
 
Mabadiliko katiba na tume huru umesema si suluhisho.tupo suluhisho ndugu yangu.

Kuwachia Wapinzani wapiganie Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya ni kujipa Faraja tuh ya tatizo na kamwe haitakua Suluhisho...

Siku tukifahamu kua hili jambo linawahusu wananchi kuliko Upinzani kutakua kushakucha!!
 
Joka kuu. Tuongee kama wasomi. Nambie wapinzani lile trailer waliloliona kwenye uchaguzi wa wenyeviti. Unadhani picha litakuaje kwenye Udiwani na Ubunge? Unadhani ni Mkurugenzi gani ambaye amechoka kazi atangaze mshindi mpinzani? Unadhani wapinzani wanashindia wapi? Tuelezane haya mambo kinagaubaga.kuna watu watadhuriana sana ktk uchaguzi 2020 na matokeo yakitoka wapinzani watasema wameibiwa kura.25 years the same stories.unadhani wananchi watasemaje?

..ni lazima washiriki ili wa-expose kila UHUNI wanaofanyiwa ktk HATUA ZOTE.

..kuwa nje kabisa ya siasa bila wawakilishi vyama vya upinzani vitageuka kuwa sawa na NGO's za wanaharakati.
 
Back
Top Bottom