Recent content by mwasumwenye

  1. M

    Ushauri tu: Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya iwe Mamlaka kamili kwa sasa

    Minashangaa kwanini wataalamu wapo lakini taifa haliwatumii mfano wange chuku waliopo JWTZ naPOLIS wenye ujuzihuo wakawapangia mkakati
  2. M

    Ninamiliki kadi saba za vyama tofauti

    Wachovuuu haya yangu macho
  3. M

    Ninamiliki kadi saba za vyama tofauti

    Kwamasihara hivohivo ndiyo mnataka kumpa Lowasanchi kwatamaa alizonazo mpaka mchwa watauzwa humu
  4. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    WAKULICHOMEKA Leo nimepita maeneo yale na mbaya zaidi nimewakuta wawili ndiyo wanaingia ndanimwao wakiwa wamebebelea mfuko wavitu nasalamu wamenipa kishanikawaambia nami naomba walivobeba nikapewa maparachichi mawili. Ilikuwa ni saa tano na nusu Usiku (2330).
  5. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    SAMSUN Nenda taifa lolote duniani wanajeshi huwezi kuwakuta wanatukanwa nakudhalilishwa kama hapa kwetu. Kwanini tuwakatishe tamaa wanajeshi wetu, Hebu tuwaheshimu ili nawao watulinde.
  6. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    JEMEDARI HODARI Kwanini unasema wanajeshi watz akilizao zinawaza nini wanapo vaa gwanda zao?
  7. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    Ndiyo mitaayetu ilebaa wameihamishia nyamanoro
  8. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    Hilojengo nalijua wala Usijali maana huwa napita barabara ya pembeni upande wa kushoto kwajengo. Kwahiyo nitapita hapo ulipo nielekeza.
  9. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    Mikesho nitapita nanitakupa mrejesho kwamba ikovipi
  10. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    Minaishi selemani kamaunaenda makaburini
  11. M

    Nani kawaruhusu Wanajeshi hawa kupiga raia wasiokua na hatia

    Wakulichokomeza Mimi hiyo ndiyo mitaa yangu nasijawahi kuwaona hawa makamanda wakike wakimuwajibisha MTU. Angalia huyo nduguyo asije akawa anakupa utetezi kumbe aliwakosea maana nawale siyo wehu wapige bila sababu
  12. M

    TIMU Magufuli tukutane hapa

    Kama upo nchi hii na humkubali Magufuli wewe nimshabiki wa vyama vya kisiasa. Huangalii utendaji. Mibado sijaona wakumzidi Magufuli
  13. M

    Mimi ni Dereva wa Bodaboda, nahitaji mke mwenye Degree angalau mbili

    Hii yako Kali kama ulirisiti kemia na umeishia kidato chapili subiri kidogo wanakuja
  14. M

    Dk. Slaa ajiuzulu CHADEMA, Akasirishwa Lowassa kupokelewa bila masharti!

    Kama nipropaganda chafu tupeni msimamo wake
Back
Top Bottom