Nahitaji kushiriki kwenye semina yoyite ile au mafunzo yoyote yawe ya kijamii, uchumi,biashara, uongozi na hata utafiti niko tayari hata bila malipo nitashiriki.
Yoyote atakae sikia nafasi hizo anijulishe kupitia godfreysaimon941@gmail.com au 0763978461, 0656051715 in Dar es salaaam
Mimi ni kijana mwenye uwezo wa kuandika vitabu vya stori na vingine vya nafunzo. Kikubwa nakosa sapoti kutoka kwa watu wenye uwezo na wenye kunipa mchango wa kimawazo.
Nahitaji mchango wenu wakimawazo na hata kama kunamtu anapublish vitabu anipe sapoti kwani naweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.