Mbona mm nipo njombe na najua kuwa smart fon kwetu zinaitwa simu za kupyatila,umemjibu vibaya mtu wa watu kwa lipi?? Na unaaibishwa kwa lipi?? Mbona mm niliye njombe sion ni kwa namna gan nimeaibishwa?? Mama zake wanahusika vipi na alicho kiandika?? Punguza mihemko,tumia na kabusara kidogo, kama...
Mkuu acha chuki za wazi, azam wamefanya uwekezaji mkubwa zaid na ulio bora zaidi kuliko kituo chochote kile cha tv tanzania,hata rangi yao na resolution ni the best kuliko hao wengine na hata studio zao ni the best,taarifa zao ni za kina na zenye uchambuzi wenye weledi,kwa upande wangu nadhani...
Acha kuongopa bwana mkuu,hajawahi na hatowahi kamwe kuwa mkuu wa kanisa katoliki tanzania ila tu atabaki kuwa mkuu wa kanisa la dar es salaam ambako ndiko sehemu yake ya utawala kama askofu wa jimbo na c kama kadinali
Ingekuwa heri kama mngejishughulisha kuisoma barua kutoka acia imeeleza wazi kwamba ni mpaka aproval yao na mpaka sasa hawajapokea proposal yoyote, sasa sielewi shangwe hizi ni za nini,ndio maana tunaibiwa sana kwenye mikataba ya kimataifa kama hii kwa kuwa hatupendi kusoma
Nakubaliana na kauli yako kwa namna moja lakini very rare padri kupata uaskofu na uaskofu mkuu directly ndio kwanza nasikia kwako,kuhusu uaskofu mkuu sijasema mapadri wa dar hawawezi kuu pata uaskofu mkuu wanaweza upata kama tayari washapata uaskofu,umetokea mfano songea ambao pia hawajapata...
Siyo laxima askofu anayefuata akawa cardinal maana cardinal siyo cheo rasmi ndani ya kanisa,kuna walei ni makadinali na kuna mapadre ni makadinali siyo lazima awe askofu tu
Mmhh mkuu balozi wa papa si anayechagua askofu wa mahalia,na kwa sababu dar ni jimbo kuu tegemea askofu kutoka jimbo jingine lolote la tanzania kupandishwa daraja na kuwa askofu mkuu kisha kuhamishiwa jimbo la dar
1.Pole maana ww ndio huujui ukweli,Pengo anamsema askofu mwenzie kwamba siyo msemaji wa kanisa na kwamba yale ni mawazo yake binafsi na yeye anasahau kwa wakati huo huo kwamba pale alipo siyo msemaji wa kanisa na wala hajatumwa na kanisa,alipaswa kutohukumu maana makosa anayo muhukumu mwenzie...
Umeandika madini leo na yanathamani haswaa,shida ni hawa wazungu wanaelewa basi maana wanaonekana kuwa na shingo ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.