Recent content by Mwasilu

  1. M

    TANESCO Butiama mtatutesa mpaka lini?

    thanks.. Kwenda kugombea ubunge alikuwa keshaacha Ukatibu Mkuu ? Alitumbuliwa ? JP or JK appointee ?
  2. M

    TANESCO Butiama mtatutesa mpaka lini?

    Mbunge mpya ni nani ?
  3. M

    TANZIA Mzee Damas Assey, mmiliki wa Rose Garden afariki Dunia

    Okay, mwambie atoe tamko anataka tufiche maasi na masaibu ya mume wake…
  4. M

    TANZIA Mzee Damas Assey, mmiliki wa Rose Garden afariki Dunia

    we unajuaje huyu Mama anataka matabia kama haya yabaki siri ? what if she is a liberated woman who felt so painfully and grotesquely violated na anataka huu ushenzi na ufidhuli wa wanaume uwe exposed na ukome ? how do you know amesamehe na kusahau na kuchukulia ni poa tu, mume kafanya basi...
  5. M

    TANZIA Mzee Damas Assey, mmiliki wa Rose Garden afariki Dunia

    ukifa madhambi yako hayafutiki legacy yako ikiandikwa ikasema alikuwa mjasiriamali wa mabaa na mashule na ulisomesha yatima itakuwa rekodi yako haijakamilika makando kando yako lazima yatakumbukwa na yatatumika kuwanasihi wengine wasiwe na tabia hizo ye mwenyewe hakuheshimu mke na watoto...
  6. M

    TANZIA Mzee Damas Assey, mmiliki wa Rose Garden afariki Dunia

    Bro kama yeye alikamata kijidemu kibichi bichi akahamia nacho Dubai, na jamii nzima ikajua basi ni yeye ndio hakuheshimu his wife and children…
  7. M

    Mabalozi wapuuza onyo la Balozi Mulamula kutohudhuria kesi ya Mbowe

    tunaweza kuwafukuza nini kuwafokea kidume kingekuwepo wasingethubutu na wanajua bi mkubwa dhaifu anategemea wazungu mpaka kupiga picha za utalii kaita wazungu
  8. M

    PICHA: Rais Samia na Peter S Greenberg wakiandaa Royal tour lakini hakuna 'social distancing'

    Nimekumbuka ile quote ya Nyerere unayoisema….. usishikane mikono na babu wa kizungu kama hujawahi kufanya hivyo kwa mtanzania mwenzio…
  9. M

    Jeff Bezos ni tajiri kuliko nchi ya Tanzania!!

    Jeff Bezzo ana mali isiyohamishika yenye thamani kubwa kuliko majengo ya Jamhuri Street kuanzia Central Police mpaka Pugu Road?
  10. M

    Tangu tupate Uhuru, Tanzania haijawahi kupata Rais mnyenyekevu, Mpole, Msikivu, Mtulivu na mwenye hofu ya Mungu

    aache dhulma na kukandamiza haki za raia Rais anakuwa mtu wa kwanza kuvunja sheria Jamani Afrika tuna tabu
  11. M

    Naomba kufahamishwa gharama ya Kujenga msingi

    Jenga nyumba nyingine ya darasa maana yake nini ? Sielewi.
  12. M

    Tangu tupate Uhuru, Tanzania haijawahi kupata Rais mnyenyekevu, Mpole, Msikivu, Mtulivu na mwenye hofu ya Mungu

    Si lelemama ? Mbona viongozi wa Ulaya ni wanyenyekevu ? Ushasikia Uingereza mpinzani anapewa kesi ya utakatishaji fedha, ugaidi na uhujumu uchumi ?
  13. M

    Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

    Lissu amekinza au amezuia maoni ya nani ?
  14. M

    Naomba kufahamishwa gharama ya Kujenga msingi

    nyumbani kwetu mimi tulikuwa tunapiga buku usiku chumbani… tunalala saa 7, 8, wakati wa mitihani ni mpaka liamba, taa zimewaka hapo babu analalaje? Okay, tuseme vitoto vilaza havisomi usiku. Wavulana watatu wanalala na babu yao halafu chumba cha tatu msichana wa kazi peke yake ? Is that fair...
Back
Top Bottom