Komaa faza,kaza sanaaaaaa! Vuta chuma chako na umpuuze na ndingaye! Toa kabisa dalili za kuonekana unaitegemea ndinga yake ktk mishe zako! Tena kwa sasa mbona kuna huduma nyingi za usafiri kama UBER,TAXIFY etc. Kaa humo huku ukizichanga na kuvuta mchuma wako!
Wana madawati yao ya kijinsia siku hizi,usije ukawaza kumbonda.
Somo ni kwamba hili jaribu unalolipitia halijaja kwa bahati mbaya,unapitishwa katika magumu hayo ili uoneshwe kuwa mkono wako wa pili unaoutarajia kuwa nawe bega kwa bega ni wa namna gani. Viumbe hawa ni waigizaji wazuri tangia...
Kwa ukubwa huo wa kiwanja izo tofali elfu mbili kasoro haziwezi hata kumaliza upande mmoja,labda ukubaliane nami kwamba umekosea maandishi ktk uwasilishaji i.e badaya ya kuandika square meter ukaandika square kilometer.
Pia natumai ulishapata fundi wa kukamilisha kazi hii na kama bado basi...
Inakubidi ujue kwanza vipimo halisi vya jengo lako,angle ya mnyanyuo wa paa la nyumba yako,aina ya bati utakalopaulia nyumba. Baada ya hapo ndio unaweza kufanya mahesabu ya idadi ya bati na kiasi cha mbao zitakazohitajika kufanya kazi hiyo.
Kama unaweza kuwa na michoro ya jengo lako au vipimo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.