Umenena vema mkuu ,Umoja ni nguvu na ili kuusambaratisha mlima(ccm) lazima kila mwana UKAWA aikane nafsi yake mwenyewe na aje akiwa huru bila kufungamana na msimamo wa chama chake ili aje alete ukombozi katika jamii ya kitanzania inayokerwa na ufisadi,dhuruma na ukandamizwaji wa kifikra.
Mzee anabusara sana huyu na anaonyesha ni mzalendo hata tuzo ya juzi alistahili kabisa na serikali 3 zikipita anaweza hata kutunukiwa tuzo ya NOBERT. limekuwa jiwe kuu la pembe lililo kataliwa na waashi, ni mtazamo wangu tu.
Leo nikiwa kijijini kwetu hapa Ipinda -kyela nimesikia kupitia kituo cha redio Ebony fm. kuhusu mchango wako juu ya rasimu ya katiba ukimlaumu T.lisu kuwa ni mtoto mdogo sana kwenye mambo ya sheria na kuwa amesoma mstari mmoja tu ndo kakomaa nao kukunukuu Tulivyo muelewa Lisu ijenga hoja nzito...
saa 2 zinatosha sana kuwa adabisha watu ambao ni static -maccm. kama ww ulivyo jibu mtihani yako wa form four Kwa masaa ma3 ilihali ulisoma miaka minne.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.