TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,564
Uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani unazidi kukaribia,Uvumi na simulizi za hapa pale juu ya nani atagombea nini umezidi kushika kasi.Miongoni mwa nafasi ambazo zinapaswa kupewa uzito wa aina yake ni nafasi ya Urais kwani ndiyo mahali ambapo maamuzi muhimu kwaajili ya mustakabali wa Taifa letu huwa yanafanyika.Katika nafasi hii ya Urais tunahitaji mtu mwenye sifa zifuatazo:
-Kijana mwenye afya njema
-Msomi aliyeelimika
-Mzalendo wa kweli kwa Nchi yake
-Anayewapenda Wananchi wanyonge
-Anayechukia rushwa na ufisadi
-Anayependa utawala wa sheria
-Mkweli
-Muwazi
-Jasiri
-Hana jazba
-Mwenye kufanya maamuzi magumu
-Mwenye kuifahamu historia ya nchi vizuri
Je ni nani anayeweza kuwa na sifa hizi?Tundu Antipasi Mughwai Lissu,Dr Wilbrod Peter Slaa,Edward Ngoyai Lowassa,Zitto Zubery Kabwe,Benard Membe,Samweli Sitta,January Makamba,Professor Ibrahim Haruna Lipumba au John Cheyo?
-Kijana mwenye afya njema
-Msomi aliyeelimika
-Mzalendo wa kweli kwa Nchi yake
-Anayewapenda Wananchi wanyonge
-Anayechukia rushwa na ufisadi
-Anayependa utawala wa sheria
-Mkweli
-Muwazi
-Jasiri
-Hana jazba
-Mwenye kufanya maamuzi magumu
-Mwenye kuifahamu historia ya nchi vizuri
Je ni nani anayeweza kuwa na sifa hizi?Tundu Antipasi Mughwai Lissu,Dr Wilbrod Peter Slaa,Edward Ngoyai Lowassa,Zitto Zubery Kabwe,Benard Membe,Samweli Sitta,January Makamba,Professor Ibrahim Haruna Lipumba au John Cheyo?