Recent content by Mwarabu55

  1. M

    Point blank: Rais Magufuli kubali kushindwa uanze upya! umetupoteza!

    Yanayofanywa na mh. Rais sio madogo, sisi wananchi (ambao sio wanasiasa) tuna mpa baraka zoote aendelee amalize miaka yake kwa amani. Matunda mtakuja kuyaona baadae sana na hizi juhudi ndio zitaleta kazi,maendeleo,na maisha bora kwa watanzania woote. Nyie wachumia tumbo woote mtamuunga mkono...
  2. M

    Mbona vilio vya social media mitaani sivioni?

    Upo sahihi mkuu, ipo namna ya siasa maji taka kwenye mitandao siku hizi,social medias hazitumiki kuelimisha na kuburudisha bali kutupumbaza na kupoint fingers kwa wanasiasa,lengo ni tuone serikali yetu ni mbaya
  3. M

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Uchunguzi si bado unaendelea,ukweli utajulikana tu na siku baada ya siku tunaanza kupata ukweli na huenda pia ni chanzo cha baadhi ya wanachama kukihama chama ila ukweli utakuja tu
  4. M

    Sababu za wanachama wa CHADEMA kukihama chama hicho na tuhuma dhidi yao ni zilezile

    Makamanda wanavutiwa na uchapaji kazi wa mh. Raisi na kwa kiasi kikubwa hawana sera tena, inabidi wahame tu. Na kwa namna moja au nyingine, waliohama woote vichwa vyao ni vizuri sana kuliko walio salia,sijui hili naliona peke yangu?
  5. M

    Zitto, Lowassa wakutana kujadili hali ya siasa nchini

    Wote kwa sasa wameshapoteza mvuto kisisasa, itakapo fika 2020 sijui kama watakuwa na sera za kuongea katika majukwaa ya kuomba kura, i think that is the worst combination kuliko hata UKAWA.
  6. M

    Tetesi: Lissu adaiwa kumponza Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji

    Tetesi hizi hazina ukweli wowote,haina uthibitisho na maelezo ya kutosha, ni kama imetungwa kwa madhumini fulani hivi,infact kwa nionavyo ona mimi amepewa promotion ya kuja kuwa karibu na Raisi kumtembelea Tundu haiwezi kuwa chanzo cha kuteuliwa kufanya kazi Ikulu
  7. M

    Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    acheni siasa za upotoshaji,haya maneno ya ajabuajabu humu mitandaoni hayatasaidia kujenga,mnachofanya ni kubomoa kwa manufaa ya hao wanaowatuma...
  8. M

    Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    kimsingi wewe ndio umeandika ukike mtupu,zingatia kiapo chako huu ni ushauri tu...
  9. M

    Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    kwa mtu mwenye kiapo hawezi andika vitu vya ajabu kama hivi, siasa imefika huku kwa sasa mpaka mtu baki anaweza jifanya yupo ndani ya moja ya vyombo vya ulinzi na kupotosha uma kwamba kuna matatizo ndani ya vyombo hivyo. Tunapoelekea sipo kama tutaendelea kuendekeza watu wa ajabu kama hawa
  10. M

    Hivi ni alikuwa dikteta? Au sijui sifa za dikteta!! Mbona alitoa ushauri juu ya Tanzania ya baadae kuepuka dikteta?

    kuna watu wanjaribu kipotosha hii mada,ameandika vizuri sana mtoa maada,mwl Nyerere alitufanya tuwe wamoja sana kwenye hili taifa na ideology zake kwakweli zilifanya tuwe wamoja,siku hizi CHADEMA hampendi CCM na huwenda huku kuto kupendana kwetu ni kutokana na kukosa ideology kama zile,ndio...
  11. M

    Msijidanganye, hakuna mwenye uwezo wa kuifuta CHADEMA

    mamilioni wapi unajidanganya!upo wewe na yule dada ako wa marekani tu ndio mnataka kuleta vurugu.
  12. M

    Msijidanganye, hakuna mwenye uwezo wa kuifuta CHADEMA

    mbona maneno yako yamekaa kivurugu vurugu? yaani ni kama unatishia kwamba amani itapotea siku chadema ikifutwa? huwezi andika kitu cha maana kidogo zaidi ya hiki ulichoandika?
  13. M

    Je ,dw wachochezii ?

    wewe ndio mchochezi,hiyo katuni ni ya muda mrefu leo hii umeiweka ili iweje na swali lako hilo?
  14. M

    Siasa za Bongo na upotoshaji wa mitandao ya kijamii

    Kuna picha zilikuwa zinasambazwa sijui ni kwa nia gani. Baada ya taarifa ya Morogoro kuwa kuna diwani amekatwa mapanga, zilianza picha feki kuna mtu alikuwa amekatwakatwa na amegeuza mgongo na amevaa boxa nyekundu,watu wakaamini ni picha ya diwani Morogoro. Then zikatoka picha nyingine...
  15. M

    Upinzani na Uzalendo....

    Kwa kipindi cha miaka miwili na ushee tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, mambo mengi yamekuwa yakijitokeza na kuulegeza upinzani hapa nchini. Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na yanayotokea kwa upande wa serikali, lakini pia yapo yanayotokea upande wa upinzani wenyewe. Tangu aingie...
Back
Top Bottom