Kila nchi na sheria zake .na ile ni nchi ya kiislam.subili ushoga utiwe saini hapa bongo ndo utakapojua kwa nini saudia wanawake wanazuiwa kuendesha gali.
Mnajua leo kuwa wazungu hawafai ???? Si tunapenda magari mazuri .magorofa makubwa. mameli .mandege makubwa .na uchumi mzuri basi na hili tulikubali!!!!!
Tafuta mshenzi mwenzake huyo tapeli tena awe polisi ndo atatoa lakini kwa kwenda kipolipolisi umeliwa .juzi kati katapeliwa demu hivo hivo na sijui kama sio huyo huyo tapeli ila aliingia choo cha kike kwa huyo demu na pesa kazitoa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.