Recent content by Mwanzo Shiza

  1. M

    ACT Wazalendo yalaani Serikali kuwapiga danadana wanafunzi wa vyuo kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Nyie ngome ndo mmekuja na kabarua haka!!!!!!!!! nawashangaa kwa kuengemea upande mmoja mnalaumu Serikali kwani mmeambiwa Serikali ndo ilwaambia wanafunzi wapate suprementary, muwa mnawashauri na wanafunzi kuzingatia masomo na wanapokuwa na madai kutumia njia sahihi za kuwasilisha, ili haya ya...
  2. M

    Zitto: Ni Kutumiwa na GMO, Tamaa za Umaarufu au ni Kutosoma Ripoti Mbalimbali

    Tatizo huwa muda wote anatafuta namna ya kuiambia dunia kuwa serikali haifanyi kazi ndo maana huwa anakurupukia takwimu na kujifanya mchambuzi kumbe anataka wadhamini wake wamuone mpambanaji.
  3. M

    Awamu ya Tano: Wakandarasi wamedharaulika sana

    Tatizo makandarasi wengi wameshindwa kuendana na kasi ya awamu ya tano lakini trust me hakuna wakati ambao fursa za ujenzi zimimekuwa na tija kwa wazawa kama sasa.
  4. M

    Hivi Machinjio ya Nguruwe yapo wapi? Serikali inasahau jambo la msingi

    We ndugu unataka ugomvi na ndugu zetu, inachinjiwa hukohuko inakofugiwa
  5. M

    Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

    Kabisa maana anafanya mambo ambayo mwisho wa siku yatamufurahisha yeye na familia yake. Haishi kutufarakanisha kila siku.
  6. M

    Mdude hana sifa za uongozi, hafai kuwa mwenyekiti wa Bavicha, abaki kuwa mwanaharakati tu

    wakimpa watachemkoa bajeti yao ya kukikuza chama itaishia kuwalipa mawakili wa kusimamia kesi zake kila siku kazi ipo...
  7. M

    Nadharia ya demokrasia ndani ya CHADEMA na ukomo wa kipindi cha Uenyekiti

    Acha watawale milele maana kila siku wanapiga kelele ohhh hakuna demokrasia kumbe jambo lolote linatakiwa lianzie nyumbani ndo uende nalo nje.
  8. M

    Serikali yapandisha makato ya bima ya afya kwa wafanyakazi kutoka 3% mpaka 6% Januari 2020

    Kama ni kwa leongo la kuboresha UBORA WA AFYA basi na ifanyike.
  9. M

    Awareness: Uwapo safarini usikubali kula chakula cha kupewa na msafiri mwenzako

    HAKUNA ASIYEJUA!!!!! Tunakumbushana maana hata hawa waliokutwa na mkasa huo siyo kwamba walikuwa hawajui ila walipumbazwa na tabia ya ujamaa tuliyonayo Watanzania.
  10. M

    Awareness: Uwapo safarini usikubali kula chakula cha kupewa na msafiri mwenzako

    Siku za hivi karibuni ndugu yetu Dadi Mohamedi (49) na Omary Burian(27) wamekutwa na mkasa wa kuibiwa wakiwa wanasafiri kutoka Dar Mtwara na basi la Zungu. Imeelezwa kuwa waliibiwa vitu vyaombalimbali baada ya kula biscuti zinazoaminika kuchanganywa na madawa ya kulevya. Vijana watatu...
  11. M

    Ubalozi wa Marekani: Tumesikitishwa na ukiukwaji uliojitokeza kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania

    Hawa jamaaa naanza kuamini huwa wanawatumia Vyama vya Upinzani kutimiza malengo yao nchini, ona sasa leo wanasema wasimamizi walivitenga vyama vya upinzani wakati vyama vyenyewe havikuwapa ushirikiano Wagombea wa namna nzuri ya kujaza fomu.
  12. M

    Tanzania yapata mkopo kuendeleza miradi ikiwemo reli ya SGR

    Penye nia pana njia, tulikuwa na nia, tumethubu, tumeweza kuiwezesha serikali kupitia kodi zetu wenyewe kujenga kipande cha reli kutoka DAR- MOROGORO, Uwezo wetu umeifanaya Benki ya Biashara na Maendeleo ione tunasifa ya kukopeshwa mkopo wenye masharti nafuu kumalizia kipande cha...
  13. M

    Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani

    Hizi zote ni juhudi za mabeberu kurudisha nyuma maendeleo ya Taifa letu. Naamini watashindwa na hira zao mbaya.
Back
Top Bottom