Najua wewe ndie mwenye uelewa mdogo wa kufikiri. Kama wewe hukusikia kaa kimya tu. Hii kauri kaisema jiwe
Rais hana mamlaka kumtimua pm. Labda amfute uanachama wa ccm hapo atakuwa amepoteza sifa ya kuwa mbunge hivyo hawezi kuwa Pm.
Hivi mkuu huachi kusifia vitu visivyosifika? Hata kwa macho huoni au na masikio yako yameziba? Viongozi kupingana kauli mbele ya hadhila hii huashiria kuna jambo haliko sawa. Hata cheo hakitafutwi hivyo Ndugu yangu. Fumbua macho utazame.
Huu usemi kuwa serikali haiko upande wa makonda una tafsiri nyingi sana. Moja ni kuwa hakuna mtu yeyote aneruhusiwa kupinga ushoga Tz. Pili, inaonekana kufanya vitendo ushoga ni halali na kama ingekuwa haramu serikali ingempongeza makonda kwa ubunifu huu. Tatu ni kivuli cha haki za binadam...
Wote waliosema chadema itakufa wao ndio walikufa kisiasa refer Wasira, kwa uchache ila ni wengi sana. Na kumbuka ukiitukana chadema teuzi unapewa kirahisi sana. Hapa napo wapo wengi waliopata fursa. Huyo mayala anatafuta fursa, anajua akiitaka cuf au nccr hawezi kupata dili.
mayala utazama wewe na wanafiki wengine wafananao na wewe, upinzani hauwezi kuzama. Ivi wewe umesoma wapi hata ushindwe kutambua kuwa upinzani ni imani? Au unatafuta uteuzi maana nafasi bado zipo. Kwasasa hueleweki unasimamia mini.
OK
unajua wakati mwingine mtu anaweza kusema jambo fulani lakini asitambue kuwa kasema. Hapa ni Mungu tu huwa anamuumbua mtu au kikundi fulani. Watu wamekichoka hiki chama. Kama Kweli zilikuwa ni akili zake aende kwa mkuu wake akamwambie watanzania wanataka tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.
Tatizo lipo kwenye katiba. Kama katiba ingetamka kuwa kama mbunge amefariki au kuhama chama chake basi yule aliekuwa wa pili baada ya kutangaza matokeo ndie atakuwa mbunge. Hapo tusingeona huu umalaya Malaya au upuuzi wa kuunga mkono. Nani angekubali kuacha posho zake?
Kwa kutumia polisi na tume watakuwa na uhakika wa kushinda. kitakachoendelea kwasasa ni kupeleka pesa za maendeleo Kinafki ili kuwarubuni wadanganyika. kwenye kura za maoni Hawa mbululazi lazima wamwagwe Kama toilet karatasi kazi Itakuwa imekwisha. wafia chama ndio Itakuwa fursa yao. Usione wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.