Nimekuwa nawaza sana hivi ndani ya upinzani nani anaweza kuwa best presidential candidate!!! Mbatia yuko smart sana kuzidi Lissu

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Kama baadhi ya watu wanavyosema kwamba Lissu au Magufuli can not offer best presidency in their country wakatoa sababu za msingi, ulikuwa mjadala mwaka 2014 nadhani tindo Pascal Mayalla na Mag3 kama vile waliwahi kuandika mahala jambo ili, ntarejea vema,

Kwamba kwanin Magufuli wa wakati ule pia Lissu waliona kwa wakati ule hawezi kuwa rais bora?
1.Misimamo isiyoyumbishwa ambayo hupelekea mpaka kupuuza ushauri wa wataalamu maana kuna mambo mengi anafanya watu wanashangaa kwamba hivi hapa kashauriana na wataalamu? Hivo uzalendo wake uliopitiliza nadhani ndo unampa tatizo ilo, usishangae siku moja anakwambia kwamba sasa nabadilisha noti ya nchi, bila hata ushauri au anakwambia tokea leo nafuta wizara fulni ama tokea leo nahamishia jengo fulani hapa,

Vivyo hivo Lissu kwa upande mmoja naye ana misimamo ambayo imepitiliza, ambayo hawezi kuibadili eti kisa washauri wake wamesema,

2.Magufuli amekaa sana kwenye wizara ya ujenzi anaamini katika ujenzi kila muda hawazi masuala mengine ni kuboresha barabara, kununua ndege, kuzindua madaraja, kwake yeye anaona ni bora azindue daraja atalala usingizi mnono kuliko mfano kutafta suluhu ya njaa sehemu fulani akifika anawaambia hakuna chakula serikali haigawi chakula cha bule, hivo amebase katika sekta hiyo hiyo,

Na vile vile kwa Lissu mkimpa urais miaka yake yote anaweza hasifanye jambo lingine labda mabadiliko ya mifumo na sheria, katiba na Mambo kama hayo kwakuwa amebobea upande huo, hivo masuala ya zahanati sijui shule hatakuwa na kipaumbele sana,

3.Uwasilishaji wa hotuba , hawa wote wawili hotuba zao utazipenda kwasababu mmoja anataja taja namba na kutisha tisha , na mwingine utaipenda kwakuwa katika maneno yaliyo mengi anachomeka tu vifungu vya sheria,

Hawajui kuzimaster lugha za kuongea kwa utaratibu na audience, Lissu kama anarap, tena kama yuko na mzuka kwenye kuongea,

Wakati Magufuli anahutubia kama ana chuki na mtu kama kuna ugomvi

Hawana polite language kwa wanaowaongoza,

Saa nyingine hupenda kuchomekea chomekea sana yasiyo kwenye hotuba iliyoandaliwa ndo maana hupelekea maamuzi yasiyo sahihi sana,

HAYO MAPUNGUFU YOTE MBATIA HANA NI BEST PRESIDENTIAL CANDIDATE KWA UPINZANI

hii ni karata ambayo hamjaitumia kwenye UKAWA, kama UKAWA hautakufa basi jitahidini kwenye Muungano wenu Mbatia awe candidate

1.Presentable
2. Good speech delivery anajua
3.Mtaratibu
4.Hana kashfa
Pitia kipande chake kidogo hapa




Note that kuwategea wenzangu ni uungwana mi ni CCM na Magufuli ndo rais tena 2020-2025

Kwa asilimia kubwa Magufuli kachange hata Pascal Mayalla ana uzi fulani unaoonesha how the man changed

Pili kuna baadhi ya Mambo kajitahidi japo si kwa asilimia zote ila mbatia anaweza kuleta ushindani sana
 
Kama baadhi ya watu wanavyosema kwamba Lissu au Magufuli can not offer best presidency in their country wakatoa sababu za msingi, ulikuwa mjadala mwaka 2014 nadhani tindo Pascal Mayalla na Mag3 kama vile waliwahi kuandika mahala jambo ili, ntarejea vema,

MBATIA NI BEST PRESIDENTIAL CANDIDATE KWA UPINZANI

Note that kuwategea wenzangu ni uungwana mi ni CCM na Magufuli ndo rais tena 2020-2025

Kwa asilimia kubwa Magufuli kachange hata Pascal Mayalla ana uzi fulani unaoonesha how the man changed

Pili kuna baadhi ya Mambo kajitahidi japo si kwa asilimia zote ila mbatia anaweza kuleta ushindani sana
Mkuu Britannica asante kwa hoja hii ya Mbatia ndio the best wako, kwa wengine best wao ni Lissu only if asingefanywa mbaya.

Pili nimefurahi sana unapoweka wazi u CCM wako na kuwapa watu humu ukweli mchungu kuwa kwa Kwa 2020, rais ni Magufuli, hilo halina ubishi, ila Lissu asingefanywa mbaya, angemsumbua sana Magufuli kama angesimamishwa yeye kugombea na Magufuli
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? ...Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli! - JamiiForums

Baada ya Lissu kudhuriwa, upinzani wamebakiwa na option moja tuu, the one and only ni ZZK who can make the best president this country can ever make japo na yeye ana matatizo yake niliyazungumza hapa
Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya... - JamiiForums
P
 
Kama baadhi ya watu wanavyosema kwamba Lissu au Magufuli can not offer best presidency in their country wakatoa sababu za msingi, ulikuwa mjadala mwaka 2014 nadhani tindo Pascal Mayalla na Mag3 kama vile waliwahi kuandika mahala jambo ili, ntarejea vema,

Kwamba kwanin Magufuli wa wakati ule pia Lissu waliona kwa wakati ule hawezi kuwa rais bora?
1.Misimamo isiyoyumbishwa ambayo hupelekea mpaka kupuuza ushauri wa wataalamu maana kuna mambo mengi anafanya watu wanashangaa kwamba hivi hapa kashauriana na wataalamu? Hivo uzalendo wake uliopitiliza nadhani ndo unampa tatizo ilo, usishangae siku moja anakwambia kwamba sasa nabadilisha noti ya nchi, bila hata ushauri au anakwambia tokea leo nafuta wizara fulni ama tokea leo nahamishia jengo fulani hapa,

Vivyo hivo Lissu kwa upande mmoja naye ana misimamo ambayo imepitiliza, ambayo hawezi kuibadili eti kisa washauri wake wamesema,

2.Magufuli amekaa sana kwenye wizara ya ujenzi anaamini katika ujenzi kila muda hawazi masuala mengine ni kuboresha barabara, kununua ndege, kuzindua madaraja, kwake yeye anaona ni bora azindue daraja atalala usingizi mnono kuliko mfano kutafta suluhu ya njaa sehemu fulani akifika anawaambia hakuna chakula serikali haigawi chakula cha bule, hivo amebase katika sekta hiyo hiyo,

Na vile vile kwa Lissu mkimpa urais miaka yake yote anaweza hasifanye jambo lingine labda mabadiliko ya mifumo na sheria, katiba na Mambo kama hayo kwakuwa amebobea upande huo, hivo masuala ya zahanati sijui shule hatakuwa na kipaumbele sana,

3.Uwasilishaji wa hotuba , hawa wote wawili hotuba zao utazipenda kwasababu mmoja anataja taja namba na kutisha tisha , na mwingine utaipenda kwakuwa katika maneno yaliyo mengi anachomeka tu vifungu vya sheria,

Hawajui kuzimaster lugha za kuongea kwa utaratibu na audience, Lissu kama anarap, tena kama yuko na mzuka kwenye kuongea,

Wakati Magufuli anahutubia kama ana chuki na mtu kama kuna ugomvi

Hawana polite language kwa wanaowaongoza,

Saa nyingine hupenda kuchomekea chomekea sana yasiyo kwenye hotuba iliyoandaliwa ndo maana hupelekea maamuzi yasiyo sahihi sana,

HAYO MAPUNGUFU YOTE MBATIA HANA NI BEST PRESIDENTIAL CANDIDATE KWA UPINZANI

hii ni karata ambayo hamjaitumia kwenye UKAWA, kama UKAWA hautakufa basi jitahidini kwenye Muungano wenu Mbatia awe candidate

1.Presentable
2. Good speech delivery anajua
3.Mtaratibu
4.Hana kashfa
Pitia kipande chake kidogo hapa




Note that kuwategea wenzangu ni uungwana mi ni CCM na Magufuli ndo rais tena 2020-2025

Kwa asilimia kubwa Magufuli kachange hata Pascal Mayalla ana uzi fulani unaoonesha how the man changed

Pili kuna baadhi ya Mambo kajitahidi japo si kwa asilimia zote ila mbatia anaweza kuleta ushindani sana

"Konki konki konki master"Yanayosemwaga kuhusu mbatia ndo yamesahaulika???
 
Unaongelea wapinzani au upinzani kiushabiki???? Ama kwamtazamo wako au kwa kushabikia bila kufata vigezo???
Hukumskia yule profesa alivotoa takwimu kwa wabunge wenye kuchallenge na kusema ukweli/ushauri na maneno yenye mshiko???
Anyway nikupe inshort wapinzani hasa wenye kuongea kiuzalendo na wanaji sacrifice kwa upande wa upinzani namba
1 ni Mh Godbless Lema,
2 ni Mh Zitto Kabwe
3 ni Mh Msigwa

Sasa wewe unamtaja Mbatiaalieingizwa bungeni kwa kuteuliwa na JK mbunge wa viti maalumbadae ndio kugombea huko Vunjo
Wabunge wa CCM
1 ni Mh Bashe
2 ni Mh Nape
3 ni Mh Ghasia

Ndio maana profesa alisema bungeni kuna viti zaidi ya mia3 lkn waongeaji/wachangiaji wa ukweli kuanzia upinzani na chama tawala hawazidi 15
 
Nadhani ZZK anafaa ila tatizo ni mnafiki

Mmmmh. Sitarajii kama tunaweza kupata rais asiye na madhaifu hasa ukizingatia huo ni ubinadamu. Cha muhimu mapungufu yake yanalipeleka wapi taifa.

Kwangu mimi Zitto anafaa kuwa rais wetu na hiyo 2020 anastahili nafasi hiyo. Ukimuangalia Zitto anaufahamu uchumi, ana penda siasa za maendeleo, anaamini katika demokrasia. Yuko vizuri katika mambo ya kijamii. Ni kiuongi kizuri kati ya wazee na vijana kwani ni dhahiri makundi haya yote yanamkubali. Ana ufahamu mzuri wa siasa za kimataifa na ni mwanadiplomasia mzuri. Sifa ya ziada ambayo sasa hv haipo japo si muhimu, anafahamu kiingereza fasaha.

Tunahitaji rais mwenye uelewa mpana wa mambo, rais aanayeweza kuleta mabadiliko ya mifumo na sio rais anayehubiri mabadiliko lakini anayeamini nguvu za binafsi. Hatuhitaji jazba kupata maendeleo kwani maendeleo yanaletwa na kodi za wananchi na sio jazba za kiongozi. Nikiangalia Zitto ndio mwenye kuweza kueleza kwa ufasaha mabadiliko haya hiyo 2020. ifahamike hadi sasa bado tunahitaji mabadiliko na sio mahubiri ya mabadiliko ya jukwaani huku matendo ni yaleyale kwa approach tofauti.

NB: kwangu mimi Magufuli na Lissu hawawezi kuwa marais na hawatokaa wawe marais wazuri kwani wamejikita kwenye maeneo yao zaidi na sio kwa ujumla. Hawa nawafananisha na mwanafunzi anayepata A kwenye hesabu, lakini anapatab F kwenye masomo mengine. Zitto namfananisha na mwanafunzi anayepata B- masomo yote.
 
Mmmmh. Sitarajii kama tunaweza kupata rais asiye na madhaifu hasa ukizingatia huo ni ubinadamu. Cha muhimu mapungufu yake yanalipeleka wapi taifa.

Kwangu mimi Zitto anafaa kuwa rais wetu na hiyo 2020 anastahili nafasi hiyo. Ukimuangalia Zitto anaufahamu uchumi, ana penda siasa za maendeleo, anaamini katika demokrasia. Yuko vizuri katika mambo ya kijamii. Ni kiuongi kizuri kati ya wazee na vijana kwani ni dhahiri makundi haya yote yanamkubali. Ana ufahamu mzuri wa siasa za kimataifa na ni mwanadiplomasia mzuri. Sifa ya ziada ambayo sasa hv haipo japo si muhimu, anafahamu kiingereza fasaha.

Tunahitaji rais mwenye uelewa mpana wa mambo, rais aanayeweza kuleta mabadiliko ya mifumo na sio rais anayehubiri mabadiliko lakini anayeamini nguvu za binafsi. Hatuhitaji jazba kupata maendeleo kwani maendeleo yanaletwa na kodi za wananchi na sio jazba za kiongozi. Nikiangalia Zitto ndio mwenye kuweza kueleza kwa ufasaha mabadiliko haya hiyo 2020. ifahamike hadi sasa bado tunahitaji mabadiliko na sio mahubiri ya mabadiliko ya jukwaani huku matendo ni yaleyale kwa approach tofauti.

NB: kwangu mimi Magufuli na Lissu hawawezi kuwa marais na hawatokaa wawe marais wazuri kwani wamejikita kwenye maeneo yao zaidi na sio kwa ujumla. Hawa nawafananisha na mwanafunzi anayepata A kwenye hesabu, lakini anapatab F kwenye masomo mengine. Zitto namfananisha na mwanafunzi anayepata B- masomo yote.
Kweli unalosema ila Zitto atakubaliwa kupeperusha bendera ya UKAWA?
 
Kweli unalosema ila Zitto atakubaliwa kupeperusha bendera ya UKAWA?

Nothing impossible, ila sio lazima atumie bendera ya ukawa maana ukawa hawatoi wapiga kura. Wananchi ndio wapiga kura japo tiss wanapitisha wamtakaye. Ukawa hawana hati miliki ya wapiga kura wala nafasi za wagombea urais.
 
Nothing impossible, ila sio lazima atumie bendera ya ukawa maana ukawa hawatoi wapiga kura. Wananchi ndio wapiga kura japo tiss wanapitisha wamtakaye. Ukawa hawana hati miliki ya wapiga kura wala nafasi za wagombea urais.
Sasa ACT wazalendo panamtosha?
 
Back
Top Bottom