Hata ukienda kwa waganga kama mungu kaamua itakuwa tu! Kwanini upate shida yote mwachie mungu, omba akukinge na shari na yeye pekee ndo mwokozi, omba mungu sana .
huyo jamaa ni mshirikina , yani hata maji usimpe maana anweza kuumwa akasema umemloga< mohd trans ni mtu wa shinyanga na sumri uliza utapata jib au neda ubungo wapiga debe watakwambia m, acha imani za kijinga, AMIN MUNGU.
huyo ni ujinga, kama amejua dada hajatulia si angetafuta aliyetulia , daima malipo ni duniani , pole dada lakini labda kheri yako ungeendelea kubadili labda ungeukwaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.