Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,123
Richa Adhia alikuwa mrembo aliyetuwakilisha wa Tanzania kwenye mashindano ya urembo ya dunia mwaka 2007 huko China,na hadi kuna picha nyingi zilionyesha Waziri wa Utamaduni akimkabidhi bendera ya Tanzania akaipeperushe vyema huko China!Kwa kutuwakilisha nje ya Tanzania,nina imani kabisa akina Lundenga walihakiki kama mdada huyu ni Mtanzania!
Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!
Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!
Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!
Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!
Lkn hivi karibuni zimeonyeshwa picha mrembo huyo huyo akiwa na Balozi wa India nchini Tanzania akimuaga tayari kuelekea Africa kusini kwenye mashindano ya Miss India Worldwide na hiyo kama atashinda sasa atakuwa na sifa ingine ambayo ni "Miss India Worldwide"!
Swali,Je Tanzania tayari imeruhusu 'dual citizenship'?Maana nina amini hadi kupata nafasi ya kwenda kushindania Miss India Worldwide huko Africa Kusini lzm waandaji wake walihakiki kuwa mrembo huyu ni "mwenzao",na pasipo kutia shaka kabisa dada huyu anakwenda huko kushindana kama raia wa India maana haiingii akilini kuwa ataonyesha passport ya Tanzania kwenda kushindania Miss India tena nje ya Tanzania!
Uhamiaji mchungezeni mrembo huyo maana likely kama ana miliki passport za nchi 2 tofauti jambo ambalo bado sio ruhusa nyumbani Tanzania!Sheria ya Tanzania inasema ukifikia umri wa miaka 18 inabidi uape kuukana au kuukubali uraia wa Tanzania kama itatokea kuna ulazima wa kufanya hivyo!
Mchungezeni haraka kabla hajaleta madhara kwenye chaguzi zetu,kama ana uraia wa nchi 2 tofauti basi sheria ichukue mkondo wake!