Recent content by mwanjila5

  1. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Je, hii simu niliyoinunua Amazon inaweza kusoma line za huku?

    Kuna simu kama hizo zinakuwa na frequency band za kule usa ambapo huku kwetu hazishiki kabisa hata ufanye unlock kwa mafundi.
  2. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kutazama channel zisizolipiwa, zingatia haya

    Hili swala limeleta mkanganyiko mkubwa na bado hakuna maelezo sahihi na ufatiliaji kutoka TCRA ni kama maigizo flani hiv na mwanainchi wa chini anazidi kuumia!? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Msaada kuusu Inspection ya gari inakuaje

    Lakini kama uliagiza Gari sehemu ambako hakuna wakala wa tbs kama Singapore au Europe faini itapungua mpaka chini ya laki tano.
  4. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Msaada kuusu Inspection ya gari inakuaje

    Mtafute agent anayekutolea gari bandari aende tbs kule utalipishwa faini ya kukwepa inspection kule japan haipungui milion na zaidi kulingana na Gari then utatoa Gari bila kadi wataizuia tbs watakupa barua ya kufanya inspection utaenda na Gari pale N. I. T utafanya inspection kama Gari yako...
  5. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Ingia kwenye apps zenye password pasipo kuziondoa,wala kurecovery kiulaini.

    Vipi akifungia fingerprint!?
  6. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania SUMATRA: Marufuku abiria kuzungumza siasa, dini, biashara ndani ya basi!

    Tatizo ni pale kila agizo likitolewa na serikali watu wanachukulia kisiasa kwanza hapo ndo tunafeli kwenye bus kuna watu tofauti wa dini na vyama mabishano yoyote ni kelo kwa wangine. Unakuta kwenye bus mch anahubili huku mwingine anatangaza biashara yake abilia wanbishana siasa hii haikubaliki.
  7. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    Kwa ninin hapa hakuna mtu analeta ushahidi ni kwa kiasi gani Magu alihusika kuvunja mkataba sjaona ushahidi popote hapa!? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Japani yakabidhi kiwanda cha azileti Chato chenye uwezo wa kuzalisha lita 700 kwa siku

    Machine ya alizeti haizidi million 20 ya uwezo wa kuzalisha zaidi ya lita hizo sasa iweje machine ya 170 million izalishe lita 700 au wajapan wamekuwa wezi!! Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  9. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu: TRL yapokea vichwa 2 vya treni kati ya 13 ilivyoagiza (Machi 2015)

    Kuna utata hapa kama serikali iliagiza 2015 vichwa 13 wakaleta viwili hapo vilibaki 11. Sasa iweje leo viletwe 15 au jamaa wametoa nyongeza na kwa dunia ya sasa kampuni itoe nyongeza vichwa 4 inawezekana?! hapa kuna utata. Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  10. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

    Kila mtu ananunua simu kulingana na mahitaji yake kwa wakati huo na si kwa fashion. Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  11. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania TCRA yataka makampuni ya simu kusitisha matangazo yanayowekwa kabla ya miito ya simu

    Tcra hili la local channels hawalioni au!?
  12. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Messi vs Ronaldo: Nani zaidi?

    Ronaldo yupi?
  13. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Hakuna sehemu Makonda amedharau au kulikashifu bunge hizi ni chuki lakini watashindwa

    Kamati ya maadili ya bunge je? Hii kamati inafanya kazi pia nje na watu wasio wabunge. Na wabunge wanaruhusiwa kumkashifu mtu ndani ya bunge na ila wao wasikashifiwe nje ya bunge. Wanasheria watusaidie hapa.
  14. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Kuweka Huawei na Tecno kwenye kundi moja kiubora ni sahihi?

    Samsung nyingi zanatengenezwa china chache Korea Simu za iphone nyingi nyuma imeandikwa designed in California made in china. Sasa tunachokwepa mchina tecno ni nini?!
  15. mwanjila5

    JamiiForums Tanzania Kuweka Huawei na Tecno kwenye kundi moja kiubora ni sahihi?

    Tecno c7, c9, phantom 6 zina iris scanner na zinafanya kazi zijaribu.
Back
Top Bottom