Recent content by Mwanjangle

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anasumbuliwa na shoga. Je, achukue hatua gani za haraka ?

    TUtako tumebabuka😂
  2. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Ushauri mzuri, wengine tulifanya hivi pia interview ya kwanza na kulamba asali. JF Pazuri sana
  3. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kwa iyo waliofaulu mwanzo ndio walitakiwa waende wizara ya afya, au vyovyote tu ni sawa uko tamisemi?
  4. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Liwale😁
  5. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kada yangu wote waliofanikiwa wameitwa mikoa waliyofanyia usahili na kila mkoa hawajakosa watu 3-4
  6. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Malupulupu kama extra duty, na bima n.k kwa watu wa afya??
  7. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Walitakiwa kupangiwa walipoomba na kumbuka kibali kilikuwa cha tamisemi. Nadhani walioitwa tamisemi ndio walifaulu zaidi make hawa asilimia kubwa wanapangiwa walipoomba kama usahili ulivyowadirect ( sina uhakika)😂
  8. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kwanini watu hawataki kuishia LGA?😁
  9. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Halmashauri Dc😁
  10. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Nimekupata hapa nadhani kama kuna kuzidiana malupulupu ni kwa baadhi ya kada, wajuu ndio wanashiba zaidi , kama elimu yako ya sungura diploma au certificate kafurahie tamisemi uko utakuwa ata incharge na utahudhuria semina kadha wa kadha, na kama extra duty kote zipo basi hakuna utofauti zaidi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Umaskini kwenye nini,kwani kuna maisha tofauti hapa? Au umaskini ni kwa mtu mwenyewe na sio hizo level mbili tofauti?
  12. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hivi mishahara ya tamisemi ni sawa na wizara au kunakuzidiana? Nimeona MD mmoja uko insta. Anadai hawezi kwenda kuripoti kazini kwasababu mishahara wizara kamzidi tamisemi parefu. Na kazi tamisemi wanapiga sana vile vile malupulupu kama extra duty tamisemi hayapo, je ni kweli??
  13. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Songwe,katavi na mara
Back
Top Bottom