Recent content by Mwangolya

  1. M

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    Mimi naona tumalize kwa hili la madawa ya kulevya kwasababu bado tunasafari ndefu kuna ubakaji,usafirishaji haramu wa watu,kuna utakasishaji wa pesa kuna ugàidi ndipo tuanze na kughushi vyeti kujipatia ajira kwa njia ya udanganyifu kufauru mitihani kwa njia za ujanja ujanja pamoja na upendeleo...
  2. M

    Tundu Lissu amesema kuwa CHADEMA itakata rufaa dhidi ya hukumu ya Mbunge kwenda jela miezi sita

    Naamini mdomo hukiponza kichwa lakini unaweza kutoa hoja nzito bila kupigana wa kutukana na ikaeleweka ni muhimu kubadili style mfano mzuri ya baadhi ya wanasiasa ni kama dr.Slaa,Lowasa hawawezi kupata misukosuko kama hawa wafungwa
  3. M

    Madhara makubwa watakayopata Chama Tawala baada ya msanii Wema kuhamia CHADEMA

    Ukichunguza vizuri wote waliolelewa na CCM ndiyo wanaokimbia baada kusitishiwa ulaji au kubanwa ili nao wafuate sheria na taratibu za nchi,ustawi wa wa Tz hautaletwa na ushabiki wa kisiasa,chuki au tamaa za madalaka bali juhudi na maarifa pamoja na uadilifu na uzalendo.
  4. M

    Watumishi wa umma tumemkosea nini Rais Magufuli?

    Dawa ya deni ni kulipa kanuni hiyo ianze kwa serikali ilipe madeni ya watumishi wake kwanza ili mfano huo uigwe kwa watumishi inawezekana hupendi kufikiri nje ya box lkn jaribu kuangalia uwiano huo jaribu pia kuangalia watumishi hawa wamekubali kuvumilia kusitishwa kwa nyongeza zote nk.na hoja...
  5. M

    Kwenu Tundu Lissu, Peter Kibatala, Albert Msando na wanasheria wengine wa vyama vya upinzani

    Sidhani kama hili nalo linahusu wapinzani hili ni la wote kinachotakiwa wape stahiki zao watumishi wote then kata pesa wanayodaiwa kwanini iwe rahisi kuwadai wao lakini iwe vigumu kuwalipa wanachokudai!?
  6. M

    Ni kampuni gani hii iliyotoa faragha za Steve na Mama Wema?

    Ni kweli CCM inaweza kufa alafu wana CCM wote wakahamia chama tawala huu ndiyo mchezo wa kutwanga pilipili maana hatujui adui ni chama au watu waovu waliojificha kwa koti la chama na wanauwezo wa kuvua koti la kijani na kuvaa la blue au jeupe!!!Pole Tanzania yangu.
  7. M

    Tetesi: Wasanii wengi kumfuata Wema Sepetu, CHADEMA kuweni makini

    Hawana dira si vibaya kama wangeimarisha tasnia zao badala ya kuingia kwenye mchezo huu wa si asa wata lost mara mbili.
  8. M

    CHADEMA wamdhalilisha Wema Sepetu

    Siasa za chuki za nini?kama kweli malengo yenu ni kupigania ustawi wa wananchi wote?sisi sote ni ndugu moja matusi na uhasama siyo dira yetu
  9. M

    Tanzania yatajwa kuongoza kwa kukandamiza upinzani Afrika

    Mara tu baada ya kupata uhuru ilionekana kwamba haki za binadamu ziondolewe kwenye katiba kwani zingekuwa kikwazo cha maendeleo!wanazuoni waliponda sana lakini naanza kutambua ni kwanini walisema hivyo maana nchi zetu upinzani ni kupinga kila kitu uhuru wao unatumika kupigana na kutukana wenzao...
  10. M

    Tatizo: Sahara media

    Siku zote utavuna unachopanda watumishi wasipo lipwa hawawezi kufanyakazi kwa ufanisi hata kama upo juu ya sheria waheshimu watu wanaokufanya upate kipato.
  11. M

    Bado hajatokea wa kuitikisa CCM kwa kuondoka kwake!

    Hivyo ni vyama mbadala ukikosa nafasi kwenye chama mama unaondoka pia ukikosa kinga ya maovu yako unakichukia chama lakini wakati mwingine hata ukilazimishwa kulipa kodi ya mapato unahama!!!kwa mwendo huu wafungwa walio magerezani wanashabikia chama kipi?ni ngumu kunielewa ingawa kila nikiuliza...
  12. M

    Duh! kati ta wahamiaji haramu 1,634 waliokamatwa Msumbiji, 1,561 ni Watanzania

    Dhambi hii itawatafuna kama walio zoea kula nyama ya mtu amini nawaambia wakiwamaliza wageni wataanza kutafutana wao kwa wao.
  13. M

    ARUSHA: Azalisha umeme kwa maji ya mfereji, agundua trekta yenye injini ya pikipiki

    Mmmm!huwa natamani kuona sura za hawa wachangiaji maana kwa taswira nahisi kama mijitu hii very rigid yaani wao wana waza kila jambo kipinzani tu hawa wana nia gani?nadhani Demokrasia siyo utamaduni wetu tuwaachie wenyewe hapa tuanze kufuta fikra za kipinzani wakinyooka nchi itakwenda mbele...
  14. M

    Dawa za Kulevya: CHADEMA wafungua kesi dhidi ya Makonda

    Sita shangaa kusikia wale wale wakidai kuwajua wahalifu wa madawa ya kulevya we subiri uone maajabu ya watz.Makosa haya ukiyashughulikia kwa usiri mkubwa napo kuna tabu zake cha muhimu hapa ni kupata ushahidi wa kutosha kabla ya kuwakamata lkn pia watu maarufu wanatumia miamvuli ya taasisi...
  15. M

    IGP Mangu awasimamisha kazi askari polisi 12 wanaodaiwa kujihusisha na mihadarati

    Ni mwanzo mzuri lkn dhamira ya dhati ndiyo kitu muhimu katika kupambana na biashara ya madawa ya kulevya.Sidhani kama njia hii ni sahihi katika kuwapata watuhumiwa ni lazima ieleweke kwamba lazima timu zote zishirikishwe kazika zoezi hili yaani upelelezi kwa maana ya kukusanya ushahidi,waendesha...
Back
Top Bottom