Nyumba ya vyumba 3 vya kulala , kimoja master jiko , dining , public toilet na store , inapangishwa eneo la kipunguni B mosh bar , maji yapo ya kutosha bei ni Tsh 250,000 kwa mwezi , miezi 6 anachukua.
Kipunguni B ipo ukonga banana unafika kituo cha mombasa kisha unapanda daladala kwenda moshi...