MUNGU alisaidie kanisa. Migogoro ni mingi sana katika kanisa la Anglikana,nakumbuka mgogoro wa Singida mpaka ilibidi wakati wa Ibada kulindwe na polisi.
BAVICHA mnajitambua nipo pamoja nanyi...tunawasubiri kwa hatua zaidi tutee haki ya kila mwanafunzi kupata mkopo...Siwasikii hawa vijana wa Lumumba (UVCCM) maana ni wachumia tumbo wanashindwa kutetea maslahi ya vijana wenzao kazi kujipendekeza tu kwa watawala...
Hii Serikali imeshindwa mapema mno.Yaani hizi sababu za kitoto zinatolewa na kiongozi anayejiita msomi..Mh Mtukufu Raisi kuongoza nchi umeshindwa mapema mno.Wapi LOWASSA elimu bure mpaka chuo kikuu.
Kama sijaelewa hivi...lakini zamani ilikuwa ni shida sana kufaulu ule mtihani wa Msingi, walitumia sana majina ya wale waliofaulu wakashindwa kuendelea.. Nahisi bado ufafanuzi haujakamilika...Lakini sioni shida sana kwa yule aliyeanzia pale na kufikia Elimu ya juu zaidi kama huyu kiongozi kwa...
Hawa wazee tunasema ni hazina.Lakini wamekuwa bubu kwenye masuala nyeti ya taifa hawatokei hata siku moja kuonya na kushauri kama ilivyokuwa kwa baba wa taifa JK Nyerere
Haahaa!! Nape hili suala sio saizi yako,labda waziri Mkuu ama Mh. Raisi angelitolea maelezo,na tusijifanye tunaweza kuwapinga hawa jamaa wakiamua jambo.
Tulia anatumia "defensive mechanism" kwa kuwa yeye ni Mwanamke anaona kama wabunge wengi wanataka kumdharau,au pengine pia ni maelekezo maalum. Ndugai ameonesha nia tusubiri atengeneze muafaka.
Hii ndiyo nchi yetu kwa sasa.Mkuu wa nchi na mawaziri wake wanatembea kwenye njia moja ya kuukandamiza Uhuru wa vyombo vya habari. "Kiongozi yeyote asiyefuata katiba aliyoapa kuilinda hatufai" Mwl.Nyerere.
Haahaa hawa TCRA wanaangalia nyimbo tu za bongo au....mbona hii ya WORK na ANACONDA za rihanna na nick zinapigwa mchana kweupeeee na watoto wetu wanaangalia?....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.