Sijajua msichoelewa no nini wametangaza wanafanya kazi ya kuunga mitambo ya kinyerezi1 ambayo ni Mw 150 itakayo maliza tatizo la mgao ndio maana wametangaza sasa hili LA ukawa no upotoshaji wa makusudi acheni
Hii ndio Tanzania bhana hakuna anaengalia wananchi maskini. wakulima maisha yao yapo vipi wana Lima kwa gharama kubwa wanauza bei kiduchu mnunuzi indie mpanga bei wao wanasisitiza kilimo kwanza matokeo makubwa sasa hakuna hata mmoja mwenye uchungu na nchi hii inauma sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.