Recent content by mwanazuoni2

  1. M

    natafuta kazi kampuni ya sheria

    Mimi ni wakili mpya ambaye nimeapishwa december 2014.Natafuta law firm nijishikize .Nipo Dar Es Salaam ila tatizo sijui watu sababu natokea mkoani.mwenye uwezo wa kunisaidia ani PM.Thanks
  2. M

    nauza anti-virus expire 2038

    Habari.KWa wale wenye computers na wanahitaji anti-virus ya ukweli ina expire mwaka 2038 bei tsh.15000 tu.nipo Sinza-Dar es salaam. Napatikana kwenye number hii 0659880935
  3. M

    Hawa ndio Freelancer wa Postal Bank

    Hata kama sina kazi siwezi entertain huo ushuzi
  4. M

    Nataka kujinyonga kwa kukosa kazi

    If you are born poor it is your parents fault but if you die poor it is your fault. Mwanazuoni nipo napambana sorry my message ya jana nilikuwa nawachemsha tu.
  5. M

    Nataka kujinyonga kwa kukosa kazi

    Nimemaliza chuo kikuu toka 2008 lakini ndoto zangu aziendi kama niliywotarajia kwa hiyo nimeamua kujinyonga ijumaa
  6. M

    habari njema kwa waliosoma sheria

    Leo muda wa saa tano bungeni nimemsikia waziri wa sheria mh Dr.migiro na mwenyekiti wa kamati ya sheria na. Katiba mh ngeleja kuwa wanatarajia kutoa ajira 489 za state attorneys kwa mwaka huu wa fedha 2014/2015.Kila la heri mliopita law school.
  7. M

    Vigezo hamna mnataka kazi mtasubiri sana umri nao ndio huo hausubiri

    sio lazima wote tuimbe wengine mbaki tu mashabiki
  8. M

    Vigezo hamna mnataka kazi mtasubiri sana umri nao ndio huo hausubiri

    Punguzeni jazba na kutokwa na bovu huo ndio ukweli lazima uumize mpaka kumoyo
  9. M

    Vigezo hamna mnataka kazi mtasubiri sana umri nao ndio huo hausubiri

    Ku-graduate sasa hivi sio dili ni kama mtu aliyemaliza form four kwa hali ya tanzania ilivyo sasa. Wengi wa ma-graduate nowdays 1) kujiamini ni zero ushaidi ni pale tunapowafanyia oral interview 2) ana cheti lakini kichwani hamna kitu kuhusiana na alivyosomea i.e elimu sio cheti ni uwezo jamani...
  10. M

    Tusiokuwa na Ajira Soma Hapa

    Maandamano ndio solution ya kutupa huo mjadala mpana
  11. M

    Tusiokuwa na Ajira Soma Hapa

    Ndugu zangu tatizo la ajira tanzania sasa hivi limekuwa kubwa sana inaeza tangazwa nafasi moja waka-apply watu alfu mbili. Sasa mimi nilikuwa na wazo kwa nini tusianzishe maandamano ya wasiokuwa na ajira especially sie tuliopo Dar-es-salaam ili serikali na sector binafsi zipate pressure ya...
  12. M

    jamani hawa kamata kamata wa magari manispaa ya kinondoni vp?

    Wana jf. Leo jumamosi asubuhi nilikuwa maeneo ya mabibo sokon nikifannya shopping na gari langu nikiwa nimepaki pembeni mwa barabara(reserve road) ile narudi kutoka ndani sokoni ghafla wakatokea hawa jamaa wanajiita MWAKINGA AUCTION MART nakukamata gari langu. Hawa jamaa wana njaa ya hatari...
Back
Top Bottom