natafuta kazi kampuni ya sheria

natafuta kazi kampuni ya sheria

mwanazuoni2

Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
13
Reaction score
10
Mimi ni wakili mpya ambaye nimeapishwa december 2014.Natafuta law firm nijishikize .Nipo Dar Es Salaam ila tatizo sijui watu sababu natokea mkoani.mwenye uwezo wa kunisaidia ani PM.Thanks
 
Nilikuwa naambiwa kuwa Mwanasheria hapati kazi kupata kazi
 
Tafuta associations za Lawyers but most huwa GPA matters na pia ufahamu wako wa sheria ni muhimu kwan kwa sasa utakuwa una practise law sio known law
 
Aende kwenye chambers mbalimbali za lawyer akacheki posibility. Ishu sio kusoma sheria sk izi kila program inagraduates lukuki ni kikomaa na changamoto na soko la ajira na kukiajiri tu.
 
Mimi ni wakili mpya ambaye nimeapishwa december 2014.Natafuta law firm nijishikize .Nipo Dar Es Salaam ila tatizo sijui watu sababu natokea mkoani.mwenye uwezo wa kunisaidia ani PM.Thanks

nitafute 0768577654
 
Back
Top Bottom