Alyekuambia Wikipedia inaandikwa na wazungu ni nani? Unajau jinsi ambavyo habari zinapatikana wikipedia?. Hata wewe unaweza kuandika tu chochote mule na ndio mana it has never been a reliable source of information. So inawezekana haya yaliyoko huku yameandikwa na mmoja wa maadui wa Lowasa.
Ni wazi kwamba anayetoa pesa cash kwenye account ni mwenye account mwenyewe hivyo withdraw peke yake haiwezi kuonesha baada ya mwenye account kutoa ni nani walipewa.
Ndugu Peter, kuandika hapa haikua na lengo la kutoa habari. Badala ya kutaka tu kujua ni nani au ni kampuni gani, hebu jipe muda kidogo wa kutafakari uone ni nini mwaandishi ametaka kukifikisha kwenye hadhira. Usiiangalie tu kama habari
Ndugu wanajamii,
Mbunge wa Bukoba ni mmiliki na Mkurugeni wa Shule ya St. Anne Marrie iliyoko Kimara jijini Dar es Salaam. Shule hii kwa sasa ina wanafunzi wa kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha sita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.