Recent content by MwanawaMUNGU41

  1. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Wakuu hivi nyie mnawezaje kuingia humu JamiiForums kwa hiki kipindi mkiwa ndani ya Tanzania?

    KWANI YULE MAMA ALISEMA BUKOBA NI RIO NINI?😂
  2. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania ChatGPT amekuwa rafiki yangu mkubwa kuliko kiumbe yeyote hapa duniani mwaka huu tu amenisaidia kuingiza milioni 100

    Haunishindi mm hapa nimebadili simu,naidownload lkn nikingia haikubali
  3. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania ChatGpt special thread

    Nimebadili simu nimeidownload upya lkn haikubali kufunguka,akili yangu haifanyi kazi nimechanganyikiwa
  4. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Je, unafahamu kuwa ukiwa na kuku 100 wa mayai, unaweza kujipatia kati ya Tsh 300,000 hadi 720,000 kila mwezi?

    Anataka watu tulipie somo huku Dar yai 250-200
  5. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  6. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Zingatia Haya Na Hutotapeliwa Kamwe Mtandaoni

    Namba 2 na 4 ilikuwa nazijua,asante kwa kuniongezea mkuu
  7. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Watanzania tupige magoti kwa Mungu kumuombea Prof. Janabi ashinde Ukurugenzi WHO kanda ya Afrika

    Badala ya kujiombea unawaombea walioshiba,MUNGU isamehe hii mbuzi
  8. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Kama mfalme Zumaridi sio Mungu basi jeshi la polisi limpeleke Mungu halisi mahakamani kuthibitisha uongo wa mfalme Zumaridi

    Sijui nn kimenileta humu,nafungua tu naanza na uzi huu,nilishalala mm,dhambi niache usinifuate fuate😭😭
  9. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Why me simpati mwanaume kama huyu i am tired kabisa

    Huyo alishafariki,ni marehemu!mkuu
  10. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania TANZIA Lala salama Padre Felician V. M. Nkwera

    Apumzike kwa amani
  11. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Hivi kabla hujafa unatamani kutembelea nchi gani hapa duniani?

    Dubai na England
Back
Top Bottom