Husika Na maelezo hapo juu mm nikijana Wa kiume32 nimejiajiri,naitaji mpenzi atakaye kuwa Mke Wa pili asiwe Na Mtoto,awe amejiajiri ,dini yoyote pia awe anamiaka 25...pia asiwe msiri ktk mambo yake awe mkweli asanteni natanguliza mapokeo mema pm
Kuna mdau amejibu niongezee unapolala chali kwanza unakuwa unaufanya ubongo Wa nyuma kushindwa kupata hewa yakutosha kwani mishipa hujikunja Na damu hupita Kwa taratibu sana nakama ujuavyo ubongo Wa nyuma ndiyo unaokupa taarifa ujigeuze uhisi joto nk sasa ukiwa umelala chali unakuwa unaufanya...
Mwalimu kila nisomapo andiko lako linanipa uchungu sana nimekuwa mfuatiliaji sana Wa siasa za home nimekipenda chama changu cha chadema ila naimani aliyofanyiwa Kamanda Lissu Mungu anajua atafanyaje ila kwaimani isiyo kosa hofu Lissu atasimama tena Na watesi wake watashudia nayanukuu maneno ya...
Umwachie kadi Na hati ww huwezi ziifadhi acha panik Ndugu ww kama unaweza mpotezee wala usimkimbie atajishindia kwamba unamwogopa ww rudi home kama kawa ila usile mzigo Fanya yako utakuja kuniambia usiwe mnyonge Kwa hawa viumbe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.