pale una line moja mfano line ya tigo alafu unataka kumpigia simu mtu wa tigo huna budi kwenda kibanda cha simu wadau fursa ya vibanda vya simu inarudi
matumizi ya line zangu:
1.tigo=aisha,fatuma na happy
2.zantel=amina,manka,zuwena na rose
3.airtel=janeth,fatuma na mwajuma
4.voda=zawadi,stamili na neema
haloteli=bando za internet
nikiwa na line moja si nitakosa wachumba,hapa napinga hoja
MKUU hivi hujui mkataa kwao ni mtumwa?,tunapenda K kwasababu ndo tulipotoka siyo vibaya kupeleka salam za pongezi mara kwa mara:cool::cool::cool::cool:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.