Huu Uzi umekaa poa sana na muungwana yeyote lazima aupe tano. Lakini mtu mwenye chuki atauponda yote kwa yote Oct 25 baba magufuli jiandae kupokea kura zetu waungwana.
Da tumeona mkuu kumbe Magufuli anapendwa kiasi hiki mpaka watu wamajitolea muda wao magari yao da Mungu mbariki Magufuli Mungu ibariki Tanzania. Ccm oyeee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.