Recent content by Mwanantogakulya

  1. M

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Yaaani polisi konstebo anamkamata Mkaguzi hii ni hatari!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wakulima Maswa waonywa kuuza pamba kwa mkopo

    Maswa, Simiyu: Wakulima wa pamba wilayani Maswa wameonywa kutokubali kuuza pamba kwa mkopo, bali wahakikishe wanalipwa fedha zao mara moja baada ya kukabidhi zao katika vituo vya ununuzi. Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Maswa, Lukas Kuwingwa, amesema taasisi hiyo iliingilia kati baada ya wakulima wa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ardhi njoo Maswa kuna madudu mengi

    Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo, wananchi wa Wilaya ya Maswa wamepokea kwa masikitiko taarifa ya kuahirishwa kwa ziara yako. Wengi walikuwa na matumaini makubwa kuwa ujio wako ungekuwa mwanzo wa kupata ufumbuzi wa migogoro ya ardhi inayowatesa kwa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Siasa za misiba jimbo la Maswa Mashariki hazipaswi kuwa mtaji wa kisiasa

    Kusaidia familia iliyofiwa ni jambo la ubinadamu na linapaswa kupongezwa. Hata hivyo, pale misiba inapogeuzwa kuwa uwanja wa mashindano ya kisiasa na njia ya kujijengea umaarufu, ni wakati wa wananchi kujiuliza kama huo ndio uongozi wanaouhitaji. Swali la msingi ni hili: Kwa nini nguvu na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Aliyeozesha mwanafunzi kwa ng'ombe 15 azitema

    MKUU wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dkt. Vincent Anney ameongoza juhudi zilizofanikiwa kuvunja ndoa ya kimila iliyokuwa imefungwa kati ya Mahene Kulwa na mwanafunzi aliyekuwa amechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka huu, baada ya kubainika kuwa aliolewa kwa mahari ya ng'ombe 15. Tukio...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Katibu CCM Wilaya kiongozi group la WhatsApp la kutukana Viongozi wa CCM na Serikali

    Ni jambo la kushangaza Katibu wa CCM wilaya ya Maswa,Efreim Kolimba ambaye ni kiongozi wa kundi la WhatsApp liitwalo CCM MASWA,KUJADILIANA SERA ZA CCM NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM kuligeuza kuwa la kuwatukana Viongozi wa CCM na Serikali. Viongozi wanaotukanwa na kushambuliwa kwa lugha za...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mapokezi makubwa kwa Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Dkt. George Venance Lugome

    Mapokezi makubwa anayopata Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Dkt. George Venance Lugomela, katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi na kusikiliza kero zao yanaendelea kuonyesha kiwango cha imani ambacho wananchi wameweka kwake. Katika Kata za Mbaragane na Lalago, wananchi wamejitokeza kwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Bilioni 10 Zafungwa Kwenye Kiwanda cha Chaki Maswa, Wananchi Wasubiri Matunda Yasiyowadia

    Zaidi ya Sh bilioni 10 zimetumika kujenga Kiwanda cha Chaki kinachomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu. Mradi huo uliotarajiwa kuwa miongoni mwa miradi ya kimkakati ya kuongeza mapato ya halmashauri, kuzalisha ajira na kuchochea uchumi wa eneo hilo, bado haujaanza...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tuhuma nzito zalitikisa Baraza la Ardhi na Nyumba Maswa

    Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Maswa, Joseph Timothy Kaare, anakabiliwa na malalamiko yanayodai kuwa amekuwa akiendesha shughuli za baraza hilo kwa kutumia maamuzi binafsi yanayokiuka taratibu na miongozo ya Serikali. Baraza hilo, ambalo lipo chini ya Wizara ya Ardhi...
  10. M

    JamiiForums Tanzania CCM Simiyu inakaaje kimya?

    Inazua maswali kuona viongozi wa chama wakitukanwa kwenye baadhi ya makundi ya WhatsApp yanayodaiwa kuhusisha wanachama, huku kukiwa hakuna hatua za wazi za kinidhamu zinazoonekana kuchukuliwa. Je, ukimya huo unatokana na tahadhari kuelekea uchaguzi wa ndani wa chama mwakani, au ni dalili ya...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Dkt. Lugomela: Bungeni Tunakula Msoto, Nashindwa Hata Kulipa Ada za Watoto, ukipata Uspika au Kamati mambo yako mazuri

    Mh Lugomela hapo anafanya usanii ila nao wananchi waache tabia ya kuombaomba
  12. M

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA VETA HQ Tunaomba Wizara ya Elimu na Bunge itusaidie kujua kuhusu Utaratibu wa kupata Vyeti Mbadala Kwa level 2 na level 3

    VETA HQ Tunaomba Wizara ya Elimu na Bunge itusaidie kujua kuhusu Utaratibu wa kupata Vyeti Mbadala Kwa level 2 na level 3 Maana kila Tukifatilia VETA Makao Makuu Tunaambiwa Wanasubiri Sheria Ibadilishwe Ya Kupata Vyeti Iliyopo Sasa Hivi Hukipata Cheti kikipote Ndio Imeisha Hivyo Je? Bunge...
Back
Top Bottom