Recent content by Mwanantogakulya

  1. M

    JamiiForums Tanzania UTPC yaua klabu za waandishi wa habari za mikoa?

    Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) unakabiliwa na maswali kuhusu mustakabali wa klabu za waandishi wa habari za mikoa, huku baadhi ya wanachama wakieleza kuwa utegemezi wa muda mrefu kwa umoja huo umechangia klabu hizo kudhoofika na kupoteza uwezo wa kujiendesha zenyewe...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Manara: Katiba ni ya Watanzania Si ya Kina Heche

    Huyo naye kitimoto hana hoja
  3. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Aliyekuwa makamu wa rais Dk Nchimbi akiwa na Tundu Lissu. Mambo kama haya yalikuwa yanawakera sana CCM mtandao

    Lissu ni Mtanzania kwani kuwa naye ni dhambi acha ukenge
  4. M

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Bakwata vilaza wengi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Lissu haponi kesi hii

    Hukumu ni lazima itoke lakini si kama unavyoweza kufikiri wewe
  6. M

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Yaaani polisi konstebo anamkamata Mkaguzi hii ni hatari!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wakulima Maswa waonywa kuuza pamba kwa mkopo

    Maswa, Simiyu: Wakulima wa pamba wilayani Maswa wameonywa kutokubali kuuza pamba kwa mkopo, bali wahakikishe wanalipwa fedha zao mara moja baada ya kukabidhi zao katika vituo vya ununuzi. Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Maswa, Lukas Kuwingwa, amesema taasisi hiyo iliingilia kati baada ya wakulima wa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ardhi njoo Maswa kuna madudu mengi

    Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo, wananchi wa Wilaya ya Maswa wamepokea kwa masikitiko taarifa ya kuahirishwa kwa ziara yako. Wengi walikuwa na matumaini makubwa kuwa ujio wako ungekuwa mwanzo wa kupata ufumbuzi wa migogoro ya ardhi inayowatesa kwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Siasa za misiba jimbo la Maswa Mashariki hazipaswi kuwa mtaji wa kisiasa

    Kusaidia familia iliyofiwa ni jambo la ubinadamu na linapaswa kupongezwa. Hata hivyo, pale misiba inapogeuzwa kuwa uwanja wa mashindano ya kisiasa na njia ya kujijengea umaarufu, ni wakati wa wananchi kujiuliza kama huo ndio uongozi wanaouhitaji. Swali la msingi ni hili: Kwa nini nguvu na...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Aliyeozesha mwanafunzi kwa ng'ombe 15 azitema

    MKUU wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dkt. Vincent Anney ameongoza juhudi zilizofanikiwa kuvunja ndoa ya kimila iliyokuwa imefungwa kati ya Mahene Kulwa na mwanafunzi aliyekuwa amechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka huu, baada ya kubainika kuwa aliolewa kwa mahari ya ng'ombe 15. Tukio...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Katibu CCM Wilaya kiongozi group la WhatsApp la kutukana Viongozi wa CCM na Serikali

    Ni jambo la kushangaza Katibu wa CCM wilaya ya Maswa,Efreim Kolimba ambaye ni kiongozi wa kundi la WhatsApp liitwalo CCM MASWA,KUJADILIANA SERA ZA CCM NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM kuligeuza kuwa la kuwatukana Viongozi wa CCM na Serikali. Viongozi wanaotukanwa na kushambuliwa kwa lugha za...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mapokezi makubwa kwa Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Dkt. George Venance Lugome

    Mapokezi makubwa anayopata Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Dkt. George Venance Lugomela, katika ziara yake ya kuwashukuru wananchi na kusikiliza kero zao yanaendelea kuonyesha kiwango cha imani ambacho wananchi wameweka kwake. Katika Kata za Mbaragane na Lalago, wananchi wamejitokeza kwa...
Back
Top Bottom