Jimbo la Maswa Mashariki, kuhusu kutorudishwa kwa aliyekuwa Mbunge Stanslaus Nyongo kuwania tena ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kurudi kwa jina la Dkt. George Lugomela.
Baadhi ya sababu zinazodaiwa kuchangia kutorudi kwa Nyongo ni:
Mapambano ya kisiasa ya ndani ya chama (CCM) –...
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa waandishi wa habari mkoani Simiyu kuhusu msimamo wa Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC), ACP Edith Swebe, kutoshirikiana nao katika kuthibitisha au kutoa ufafanuzi juu ya matukio mbalimbali ya kiusalama yanayotokea mkoani humo.
Kwa mujibu wa waandishi, kila...
Hofu imetanda kwa wakazi wa Kijiji cha Gambasingu wilaya ya Itilima mkoa wa Simiyu baada ya fisi wanne kuvamia zizi la kondoo na kuua mifugo 17 huku wengine watano wakijeruhiwa katika shambulio la usiku wa manane, leo Agosti 20, 2025.
Shambulio hilo lilitokea majira ya saa sita usiku katika...
Rosemary Kirigini ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa wilaya za Meatu na Maswa mkoani Simiyu amechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Meatu kupitia chama cha Act Wazalendo.
Pia aliwahi kuwa Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Mara.Kabla ya kuibukia Act Wazalendo alikuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Kanda ya...
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari imetakiwa kuhakikisha kuwa waandishi ambao maombi yao yamekamilika na kuthibitishwa wanapatiwa vitambulisho kwa wakati, kwani kumekuwa na malalamiko kuhusu ucheleweshaji mkubwa katika utoaji wa vitambulisho hivyo.
Aidha, kumeelezwa kuwa ubora wa...
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais anayeshughulikia Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo, ambaye pia ni Mbunge aliyemaliza muda wake wa Jimbo la Maswa Mashariki, ameanguka katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kushindwa na Dkt. George Lugomela, Mkurugenzi wa Rasilimali za Maji...
Leo tarehe 3 Agosti 2025 nimepita kwenye Ofisi za CCM Wanging'ombe hapa Mkoani Njombe, nimekuta baadhi ya Wanafunzi wakiwa nje ya Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Wanging'ombe.
Sijajua nini hasa ambacho kinaendelea lakini imenishangaza kidogo kuona Wanafunzi wakiwa nje ofisi hiyo...
Wanachama wa CCM wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu ambao walikuwa watia nia ya udiwani kutoka Kata mbalimbali wamelalamikia kukatwa majina yao na kupuuzwa kwa maagizo ya CCM Taifa juu ya kurejeshwa kwa majina yao.
Wafanyabiashara katika Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, wamelalamikia kile walichokieleza kuwa ni michango ya lazima kwa ajili ya maandalizi ya Mwenge wa Uhuru, wakidai kuwa wanatozwa fedha kupitia maelekezo kutoka kwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya bila mashauriano wala ridhaa yao.
Wakizungumza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.