Kumekuwa na idadi kubwa sana ya raia wa kigeni wakifanya kazi katika mahoteli hapa nchini , either pasipo kuwa na vibali halali au pasipo kuwa na sifa stahiki- kwa mfano unakuta raia wa kigeni eti anakuja nchini kuwa purchasing manager katika hotel wakati kuna wazawa wengi ambao wanamaliza...
sawa azam, lakini mbona nawao hawaonyeshi baadhi ya local Tvs??? na pia wana channel chache, kwa mlalahoi bado king'amuzi cha Star time kipo bora aisee!!1
ndugu wadau.mbona biashara ya meno ya tembo inashamiri sana sana, nini haswa kinaenda kutengenezewa haya meno ya tembo huko ugaibuni??????? naomba kujua tafadhali.
Tido kuna wakati nilisikia kuwa anatakiwa kuwa kiongozi wa channel ya Kiswahili ya Al-Jazeera tawi la east Africa iilishia wapi? pia hili gazeti la mtanzania si la bwana rostam azizi na bashe ndio mtendaji wake mkuu (c.e.o)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.