Huyo dada katenda kosa kubwa sana kwani kamlagai huyo mtoto...km kweli upo serious na huu uzi plz huyo dada lazima sheria ichukue mkondo wake haiwezekani huyo dada kumlagai huyo mtoto....kiasi hicho.???? nimeumia sana kwa kitendo alicho kitenda huyo dada kwa mdogo wako.Nakuomba mpeleke kwenye...
Huku kilimanjaro hatuna hata hamu....na matokeo ya uchaguzi .....waendele tu kushikilia madaraka adi pale watakapo taka kuachia madaraka....na kamwe...huku hatutawahi kuwapa..eti "ccm ni ile ile" hivi hiyo sentensi c tata kweli
Kwanza natanguliza heshima zangu kwenu wanaJF.Napenda kuomba mnijulishe je ina maanisha nini unapofanya betting kwenye M bet kwenye kipengele kinacho sema "bet both team will score" je nini kifanyike ndio kusudi ule dau wakuu....naombe msaada kwenue hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.