Recent content by mwanamanzi

  1. M

    Madereva wa Taasisi hizi wawe na weledi wa kazi zao

    Hivi hizo si ni KAZI kama kazi zingine Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
  2. M

    Manispaa ya Kinondoni Ondoeni au futeni kabisa minada ya Kunduchi na ule wa Boko-chama

    Gulio ni muhimu Sana kwa maeneo ambayo ni landlocked Ili kusaidia upatikanaji wa bidhaa kwa wakazi angalau mara Moja Kwa wiki. Ila issue hapo ya minada ya mjini ni pamoja na ukusanyaji wa ushuru kuongeza Pato la mamlaka husika Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
  3. M

    Msaada: Jinsi ya kuvuta maji kutoka kisimani

    Hapo uwe na generator ama solar power
  4. M

    Tuambizane kero katika matumizi ya Simu za mkononi

    Hii KERO namba 4 mi Hadi natamani kuvunja hii laini Usiku wa manane simu inaita unaikimbilia kuja amepiga namba ngeni, unapokea labda ikawa kuna shida kwa ndugu au jamaa.. Mtu anakuuliza "nani mwenzangu" halafu ni kwa tone ya kibashite! Unamuuliza we unapiga kwa nani...jibu anamwambia anakupenda...
  5. M

    Hadhi ya Kiswahili yainuka huku lugha hiyo ikitambuliwa zaidi

    Sasa sisi ambao tunakazana na kujifunza kiingereza na kufanya kama ndio lugha ya biashara wenzetu wanageuza kibao. Tunaweza tukaachwa tena.
  6. M

    Mitaa ya Kariakoo inachanganya sana

    Mimi binafsi maeneo yote kariakoo nayajua na ninapotafuta kitu sipotei na sikosi kukipata ila sijui ni mitaa gani. Kwa hiyo nami ni muhanga wa kujua majina ya mitaa
  7. M

    Serikali itawafidiaje watumishi wahanga waliodhulumiwa mwanzoni mwa awamu ya tano!??

    SEMA tumeshastaafu na wengine wananjiandaa. Dhuluma kubwa sana imefanyika
  8. M

    Kwanini kauli zake sio za kweli?

    Ila swala la ajira kwa watz 24m yaweza kuwa sahihi maana ajira si zile rasmi tu Bali hata zisizo rasmi Huwa zinahesabiwa. Mtu anafanhankazi mashambani, kwa mhindi, dereva wa daladala n.k. Zote ni ajira
  9. M

    Tumetoka mbali sana, tumshukuru Mungu. Wengi hawakujionea kwa macho

    Umesahau tezi dume. Unatesa sana kwa sasa
  10. M

    Msaada wa dawa ya kikohozi sugu na koo kuuma sana

    Wazo zuri ila kuwa makini na uandishi basi. Hiyo "ngangania" uiangalie upya
  11. M

    Wazazi, watoto wanafanyiwa vitendo vichafu kaeni na watoto muongee nao

    Umenena yaliyo sahihi kabisa. Hali mtaani ni mbaya sana watoto wanafanyiwa vitendo vibaya na aidha watoto wenzao ama watu wazima. Issue ya kukagua watoto uwe na nafasi kubwa kwa wazazi. Tujitahidi kuwafuatilia watoto wanapoenda na kutoka mashuleni wanakutana na mambo mengi ya ajabu.
Back
Top Bottom