Gulio ni muhimu Sana kwa maeneo ambayo ni landlocked Ili kusaidia upatikanaji wa bidhaa kwa wakazi angalau mara Moja Kwa wiki.
Ila issue hapo ya minada ya mjini ni pamoja na ukusanyaji wa ushuru kuongeza Pato la mamlaka husika
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hii KERO namba 4 mi Hadi natamani kuvunja hii laini
Usiku wa manane simu inaita unaikimbilia kuja amepiga namba ngeni, unapokea labda ikawa kuna shida kwa ndugu au jamaa..
Mtu anakuuliza "nani mwenzangu" halafu ni kwa tone ya kibashite!
Unamuuliza we unapiga kwa nani...jibu anamwambia anakupenda...
Mimi binafsi maeneo yote kariakoo nayajua na ninapotafuta kitu sipotei na sikosi kukipata ila sijui ni mitaa gani.
Kwa hiyo nami ni muhanga wa kujua majina ya mitaa
Ila swala la ajira kwa watz 24m yaweza kuwa sahihi maana ajira si zile rasmi tu Bali hata zisizo rasmi Huwa zinahesabiwa.
Mtu anafanhankazi mashambani, kwa mhindi, dereva wa daladala n.k.
Zote ni ajira
Umenena yaliyo sahihi kabisa.
Hali mtaani ni mbaya sana watoto wanafanyiwa vitendo vibaya na aidha watoto wenzao ama watu wazima.
Issue ya kukagua watoto uwe na nafasi kubwa kwa wazazi.
Tujitahidi kuwafuatilia watoto wanapoenda na kutoka mashuleni wanakutana na mambo mengi ya ajabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.