Songa mbele kamanda Mbowe, wanaokutupia mawe yawarudie wenyewe, tunashukuru kuzidi kutumbusha kuwa Mbowe ni kiongozi bora, na kiongozi bora wa upinzani lazima asakamwe na ccm kwa namna mbalimbali, kama kutengeneza wasaliti ndani ya chama kama kina zitto na vibaraka wote, na njia nyinginezo, na...