Recent content by MWANAKA

  1. M

    GE2025 Viongozi wa umma, wanasiasa na watendaji wa serikali wawabane watoto wao kutopost mali wanazomiliki

    Upo sahihi. Lakini pia Zama za chuki vijicho na usaliti na uovu wa kila namna umeshamili. Unaweza kuta tu mtu tu mnayedhani ni ndugu yenu kaja nyumbani na maburungutu ya fedha kawalaghai wanao wapige nazo picha. Bila kujua athari zake watoto wameingia mkenge wamepiga picha kweli na mhuni kaamua...
  2. M

    KERO Madereva wa gari za Abiria Mbeya - Kyela wadai Maafisa wa LATRA wamekuwa kero kubwa kwao

    Madereva na makondakta tujitahidi kufuata sheria LATRA hawajawahi mwonea mtu. LATRA ni watetezi wa abiria wanyonge wa nchi hii. Taasisi makini sana wanaoheshimu na kuwajali wasafirishaji.
  3. M

    Taasisi ya elimu ya juu imeanzisha chama cha kusaidiana kufuata dini ndani ya Ofisi ya serikali

    Nawaagiza wahusika kufuatilia hii habari mala moja na niletewe taarifa ofisini kwangu kesho asubuhi.
  4. M

    Wanawake huchochea chuki baina ya mtoto na baba yake mzazi

    Shauri zao kama wanatuchonganisha na watoto wetu. Baraka za mtoto hutoka kwa Baba sasa we panda mambegu ya chuki uone.
  5. M

    Ukishangaa ya Polepole usisahau kushangaa ya mwendazake na Mama

    Unateseka ukiwa wapi ndugu yangu? Pole sana
  6. M

    Elimu yetu inabidi kutazamwa upya. Haiwezekani mtu ajiite Prof huku hajui kiingereza

    Imeanza lipi kingereza kuwa kipimo cha taaluma ya mtu
  7. M

    Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

    We jamaa unaongea nini mbona kama unakimbizwa hebu kaa tulia ulete habari inayoeleweka. Ninachojua ukiwa kwenye nchi za watu na ukafuata utaratibu ni jambo jema we ulitakaje kwani? Au una malengo gani na Watz wenzio? Ni kweli huna jema na nchi yako zaidi ya hili?
  8. M

    Wawekezaji wasaidiwe kutatua kero kwa urahisi

    Shida ni nini Mwenye uelewa na tatizo la hapo vasso akuje atueleze walau tujue pa kuanzia
  9. M

    Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

    Nilikuwa nao 3 nikiwa naishi peke yangu. Muda ulipowadia nikafanya the best selection kati yao. Sikutaka kutoka nje ya option nilizokuwa nazo. Hakika sijuti nilifanya chaguo sahihi. Ni nzuri jaribu uone inakupa nafasi ya kufanya uchambuzi makini huku ukiwa unajua mapungufu ya kila mmoja na...
  10. M

    Balozi wa Marekani Michael Battle amesema amesafiri kwa treni kwenye mabara 4 duniani lakini SGR ya Tanzania ni nzuri zaidi

    Kuna pahala tumekosea turudi tukaangalie tumekosea wapi. Huwa hawana jema nasi hawa ukiona anakusifia kuna shida pahala
  11. M

    Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

    Poleni sana watumishi wa umma Kazi za ku enforce compliance ya sheria zina madhira yake. Kikubwa ni kuwa na tahadhari wakati wote mnapoteleleza jukumu hilo
Back
Top Bottom